Ponda mali kufa kwaja! Nifanye saving ili iweje? Mimi ni mwendo wa kuponda mali tu

Comment nyingi kumkosoa mwamba wakati kashasema yeye marehemu mtarajiwa, Je mmemuhoji kwanini kajiita marehemu mtarajiwa? na ninyi mnaozungumzia kwamba atawaachaje wanaomtegemea je kama hana? Kila mtu anatakiwa aandae ahera yake hapa duniani habari za maisha ya hapa ni maamuzi yako unaishije.
 
First year chuo mnasumbuaga mno mkishapewa boom. Yaani kazi ni kupost utumbo tuuu. Mara nna 50m kwenye account nimesevu, mara ooh nimetatuliwa marinda na njemba 5, mara ooh naponda mali kifo chaja yaani ni utumbo mtupu.

Bora UE ianze utulie aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…