Ponda na wenzake warudishwa rumande, kesi yapigwa tarehe

Hawa hawa akina ponda ndio waliofanya jk apate ushindi baada ya wakiristo kuasi ccm 2010.nakumbuka walipita mikoa ya pwani kumnadi jk kweli wanasaisa hawaaminiki. Hata kikwete amekubali kutumikia mfumo?
 
Hivi kwanini mashehe wengi wanakuaga wapumbavu? Naomba unijibu

Kama Nyerere aliwahi kuwafukuza masheikh waliomsaidia uhuru, Mwinyi nae kaendelea , mkapa kaamua yeye kuwaua kabisa. Jk na yeye anatumikia Mfumo. kibaya zaidi jk amepata kura za waislam baada ya wakiristo kuamua kumpigia kura dk Slaa. juu ya yote hayo hao masheikh watatoka tu ndani na Jk ataicha nchi lakini masheikh wetu watabaki na wataendelea na harakati zao za kuwakomboa waislam
 

Ni shule tu ndio itakayo wakomboa sio vurugu wala maandamano na kuchoma makanisa. Wakristo wana Yesu ambaye anawapa utajiri. Waislam wakiyachoma wao wanajenga mapya kwa masaada wa Yesu.
 
Ni shule tu ndio itakayo wakomboa sio vurugu wala maandamano na kuchoma makanisa. Wakristo wana Yesu ambaye anawapa utajiri. Waislam wakiyachoma wao wanajenga mapya kwa masaada wa Yesu.
wakombozi wote duniani walinyanyaswa na watawala. Kawaida ya masheikh na viongozi wote wa kiislam waliosimama kwenye haki wamepata mateso. hiyo ndio historia ya uislam. hatushangai Jk kumtesa Sheikh Ponda, na Jk anapitia kumbukumbu tu za watawala waliopita duniani. Lkn uislam utazidi kungara
 

Ni mkombozi gani wa mfano unayemuongelea? Usije sema OSAMA wewe!
 

wakombozi wa waislam Gadafi,Mullah,Osama,Sadam,Chemical Ali ivi sasa ni marehemu na wamekufa vifo vya aibu.
 





Na hizo ndo fikra zinazoendelea kuwatawala na kuona mnanyanyaswa kumbe mnajinyanyasa wenyewe bila ya nyie wenyewe kujua.
 
Inshallah watatoka tu...

Nakuunga Mkono Mkuu
Acha Wagalatia wanene watakavyo bt watatoka tuuu kwa uwezo Allah, Mioyo yao imejaa chuki na ubaguzi wa dini.
Wakiwa wanachekelea hii hali ngoja waone funga kazi vita ya siasi na uchaguzi pale ifikapo 2015.
Adaeni maandaki mapema.
 

Bado hujanijibu kwa nini .hivi vigezo gani vinatumika kumpata shehe ? Naomba unijibu sitaki jazba
 
UNTAKA KUTUSUMBUA TUU, WEWE UNATAKA KUJUA NINI? NENDA MAHAKAMANI KAULIZE HAKIMU! kaseme , huyu muislamu mwenzqngu anakosa gani? halafu hili swali ni la kitoto sana na hakuna atakaye kukupa jibu. Kama unadhania kaonewa wewe nenda katuchongee nchi nzima kwa serikali ya Iran au Oman.
 
wakombozi wa waislam Gadafi,Mullah,Osama,Sadam,Chemical Ali ivi sasa ni marehemu na wamekufa vifo vya aibu.
Angalau wamekufa , hawakufa kwenye zinaa wala ugonjwa wa UKIMWI NA UKANDA WA JESHI. KILA BINAADAMU ATAKUFA. KIZURI ZAIDI WAMEKUFA WAKIWA WAISLAM JAMBO AMBALO NI KHERI KUBWA KATIKA UISLAM
 
Imani inatutaka tuwakumbuke maskini, wagonjwa, wajane, yatima, wenye ulemavu, walioko magerezani, na wenye uhitaji.

Amani kwenu wote, wenye dini na msio na dini. Wakatabahu!

sasa huyo mpumbavu, standard7, mkosa haya,mchonganishi,mfitini,mzandiki,gaidi,mvuruga amani,msema hovyo,hayawani mwenye ibilisi, Ponda yuko kundi lipi kati ya hayo? Bila shaka na wewe ni standard 7 km Ponda ndio maana ni mwepesi wa kushawishika. sisi waislam tuliobahatika kutambua nini umuhimu wa shule hatuwezi kumfuata mpuuzi huyo. Ngoja anyee ndooo tu maana ni mchafuzi wa amani na tena kwa elimu kiduchu sana pumbavu zake
 
Angalau wamekufa , hawakufa kwenye zinaa wala ugonjwa wa UKIMWI NA UKANDA WA JESHI. KILA BINAADAMU ATAKUFA. KIZURI ZAIDI WAMEKUFA WAKIWA WAISLAM JAMBO AMBALO NI KHERI KUBWA KATIKA UISLAM

Ghadafi waslam wenzenu wakamsokomeza jiti nyuma..nyie watu mnamawazo ya ajabu sana hamkuona sehemu nyingine ya kusokomeza jiti..

Ivi mkuu,Ponda ye huwa ana ajira gani?
 
Hao polisi wamevaa vitu sjo mchezo.. Usimtingishe aise... Ziwa nyasa tunapeleka polisi tu hatuna haja na jeshi maana watakimbia.. Hahha kidding
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…