Ponda na wenzake warudishwa rumande, kesi yapigwa tarehe

Nimekusoma kiongozi na kwakweli mamlaka ya DPP ni makubwa sana. Inatakiwa kwenye katiba ijayo DPP aizinishwe na bunge maana nakumbuka kuna waingereza wawili waliua dada mmoja baharini DPP akasema serikali haina interest na hiyo kesi. Kesi ilifutwa wale wazungu wakaenda zao kwao
 
CHADEMA wanatii mamlaka, mamlka pekee inayotakiwa kuheshimiwa na kutiiwa ni KANISA
sawa kabisa mkuu, sikujua kama wewe ni kichwa kiasi hicho na hata kufikia kusema ukweli kwa 100%. nadhani kimemisi kitu kimoja, naongezea some kwenye red
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…