Ponda na wenzake warudishwa rumande, kesi yapigwa tarehe

Ponda na wenzake warudishwa rumande, kesi yapigwa tarehe

mmmmmmmmmmmmmh siongei kitu wasije wakakasirika wafuasi
 
Huyo shetwani hapaswi kurejea uraiani akiwa hai! Hafai kabisa. Kastuvuruga sana sisi waislamu na ndugu zetu wakristo! Akabidhiwe Marekani kama mtuhumiwa mkuu wa ugaidi.
 
Hivi tunaijua gharama ya kuleta choko choko zinazovuruga amani bila sababu? Kwanini kuchochea fujo na vurugu halafu tuachiwe huru kama hatuna hatia?
 
Ningekuwa judge iyo kesi ningei ahirisha mpaka mwakani
 
hiyo habari njema kwa mwendo huu tutafika tu
 
ya tawfiq,ya taqwa,ya tashrifu,ya sai baba,ya dar express,ya mtei......

Ya thaqaafa ya alnuun ya hajra ya arafa ya misikiti ya ijumaa ya suna ya kitimoto ya mbuzi katoliki ya mzee wa meza:-vyote ruksaa yakheeeeee
 
Mpitagwa-You're the hero. Ushabiki hautasaidia kujenga tanzania ya amnani vinginevyo tukubaliane na Sheikhe Ponda na wengine katika waislam kuwa kuna dhuluma ya wazi kutoka kwa wakiristo na serikali dhidi yao, vinginevyo sioni sababu ya wakiristo kufurahia mateso ya waislam-mbona kibaka akiua au kuiba haki za binadamu zinatafutwa?

sasa sheria= Lipumba yuko sahihi kabisa si ushabiki-kesi ya ponda ni kuvamia kiwanja-kuna mwenye mali (mlalamikaji-ndo anastahili kufungua kesi mahakama ya ardhi kudai arejeshewe kiwanja chake). Lkn pia kuna upande wa pili ambao polisi wameusimamia kuwa amevamia na kuhatarisha amani hivyo kama jamhuri ina haki ya kushitaki kwa kuhatarisha amani. Lkn wakikosea na kushitaki kwa kunvamia kiwanja tu imekula kwao.

vile vile kesi inayomkabili kwa maeneo hayo mawili -mwenye mali kushitaki au polisi (kama jinai) bado makosa hayo yote yana haki ya dhamana tena yenye masharti nafuu kabisa, la ajabu DPP kazuia dhamana bila hata maelezo ya kina na yenye msingi wa kisheria. Utashi wa kuatarisha amani lazima uthibitishe kwa sababu za msingi ambazo mahakama inaridhika nazo, lkn kuwa DPP ana nguvu ya kusheria kuzuia bila kutoa sababu mahakama inakosa uwezo wa kuhoji uhalali wa amri ya DPP. Hapa utawala wa kisheria unatia shaka kwenye sheria zetu. Uhuru wa Mahakama unaingiliwa na Utawala-utengano wa kutegemeana wa mihimili ya dola unakosekana )separation of powers) bali kuna kuwapo na mhimili mmoja kuonekana juu ya mingine (serikali kuwa juu ya mahakama na bunge).

Ikiwa hakuna sababu za wazi hatari yake ndo wananchi kufikiria kuwa kuna dhuluma bila sababu ya msingi. Huo ndo ubinadamu-akikosa maelezo ya kina na ya kutosheleza haraka sana anahisi kudhulumiwa.

Bahati mbaya zaidi wa TZ tumeegemea mno kwenye kejeli hata pale ambapo hakuna sababu ya kufanya kejeli =kwenye hali tete kama hii tunahitaji zaidi maoni ya kujenga badala ya kubomoa. Umoja haujengwi kwa kukejeliana hususan kwa misngi ya dini. Iko siku tutajikuta tunalia na hakuna wa kutunyamazisha maana itakuwa aliyedhulumiwa na aliyedhulumu wote mumomumo.

Forum ingetumika kuimarisha maelewano na siyo kuyabomoa
 
Mpitagwa-You're the hero. Ushabiki hautasaidia kujenga tanzania ya amnani vinginevyo tukubaliane na Sheikhe Ponda na wengine katika waislam kuwa kuna dhuluma ya wazi kutoka kwa wakiristo na serikali dhidi yao, vinginevyo sioni sababu ya wakiristo kufurahia mateso ya waislam-mbona kibaka akiua au kuiba haki za binadamu zinatafutwa?

sasa sheria= Lipumba yuko sahihi kabisa si ushabiki-kesi ya ponda ni kuvamia kiwanja-kuna mwenye mali (mlalamikaji-ndo anastahili kufungua kesi mahakama ya ardhi kudai arejeshewe kiwanja chake). Lkn pia kuna upande wa pili ambao polisi wameusimamia kuwa amevamia na kuhatarisha amani hivyo kama jamhuri ina haki ya kushitaki kwa kuhatarisha amani. Lkn wakikosea na kushitaki kwa kunvamia kiwanja tu imekula kwao.

vile vile kesi inayomkabili kwa maeneo hayo mawili -mwenye mali kushitaki au polisi (kama jinai) bado makosa hayo yote yana haki ya dhamana tena yenye masharti nafuu kabisa, la ajabu DPP kazuia dhamana bila hata maelezo ya kina na yenye msingi wa kisheria. Utashi wa kuatarisha amani lazima uthibitishe kwa sababu za msingi ambazo mahakama inaridhika nazo, lkn kuwa DPP ana nguvu ya kusheria kuzuia bila kutoa sababu mahakama inakosa uwezo wa kuhoji uhalali wa amri ya DPP. Hapa utawala wa kisheria unatia shaka kwenye sheria zetu. Uhuru wa Mahakama unaingiliwa na Utawala-utengano wa kutegemeana wa mihimili ya dola unakosekana )separation of powers) bali kuna kuwapo na mhimili mmoja kuonekana juu ya mingine (serikali kuwa juu ya mahakama na bunge).

Ikiwa hakuna sababu za wazi hatari yake ndo wananchi kufikiria kuwa kuna dhuluma bila sababu ya msingi. Huo ndo ubinadamu-akikosa maelezo ya kina na ya kutosheleza haraka sana anahisi kudhulumiwa.

Bahati mbaya zaidi wa TZ tumeegemea mno kwenye kejeli hata pale ambapo hakuna sababu ya kufanya kejeli =kwenye hali tete kama hii tunahitaji zaidi maoni ya kujenga badala ya kubomoa. Umoja haujengwi kwa kukejeliana hususan kwa misngi ya dini. Iko siku tutajikuta tunalia na hakuna wa kutunyamazisha maana itakuwa aliyedhulumiwa na aliyedhulumu wote mumomumo.

Forum ingetumika kuimarisha maelewano na siyo kuyabomoa

Upumbavu na ufinyu wa kutotaka kufikiri unawaponza. Hivi kipi hakieleweki kuhusu aliyehamasisha uchomaji wa makanisa au hilo wewe unaona sawa. Nipe uhusiano wa mtoto kukojolea kurani na uchomaji wa makanisa ambayo mengine hata huyo mtoto hajawahi kusali humo. Akili yako inahitaji ukombozi mkubwa la sivyo utabaki kusema kaonewa au haki haikufuatwa. Haki imefuatwa la sivyo angepewa kipigo sawa sawa. jaribuni kuwa rational muweke mambo kwenye mizani acheni kufikiri vichwa mmeficha ndani ya chungu please open up
 
Habari zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kuwa Sheikh Ponda na wenzake wamerudishwa rumande.
Mkurugenzi wa mashitaka amezuia dhamana ya Ponda kwa sababu za kiusalama, lakini dhamana kwa watuhumiwa wengine ilikuwa wazi ila wakashindwa kukidhi masharti ya dhamana kwa hiyo wakarudishwa rumande mpaka kesi itakapotajwa tena
 
Ndg yangu kweli kesi ya Ponda inahusu ardhi ila sasa si ardhi tu ambacho ni kiwanja kuna kosa la jinai hapo la kuingia kwa jina, au Criminal tresspass , hilo haliwezi kupelekwa mahakama ya ardhi, na kosa jingine ni uchochezi ambapo Ponda anadaiwa kuhimizi na kushurutisha waislam kwenda kujitwalia kiwanja hicho wakati anajua kuna taratibu za kisheria zinapaswa kufuatwa, kwa mtazamo wangu aendelee tu kukaa jela kwa sababu ameyataka mwenyewe na pia hao waliofanya hivyo pamoja naye waendelee kusota ili wajue kuwa wanapaswa kuishi kwa kufuata sheria za nchi, hakuna dini inayohubiri kuidharau mamlaka ya serikali
Kwenye hii kesi ya Ponda kuna kitu cha kujifunza tatizo tunachukulia kishabiki. Kuna mwanasheria ambaye anaweza kujitolea kutuelezea kidogo, Kesi inayomkabili Ponda ni nini, na kwanini hawapewi dhamana? Nilimskia Lipumba wa CUF akidai kuwa kesi ya Ponda ni ya ardhi hivyo ingepelekwa mahakama ya ardhi, je ana hoja au ushabiki na yeye? Embu wansheria tupeni elimu kidogo you learned brothers and sisters

K
 
Mpitagwa-You're the hero. Ushabiki hautasaidia kujenga tanzania ya amnani vinginevyo tukubaliane na Sheikhe Ponda na wengine katika waislam kuwa kuna dhuluma ya wazi kutoka kwa wakiristo na serikali dhidi yao, vinginevyo sioni sababu ya wakiristo kufurahia mateso ya waislam-mbona kibaka akiua au kuiba haki za binadamu zinatafutwa?

sasa sheria= Lipumba yuko sahihi kabisa si ushabiki-kesi ya ponda ni kuvamia kiwanja-kuna mwenye mali (mlalamikaji-ndo anastahili kufungua kesi mahakama ya ardhi kudai arejeshewe kiwanja chake). Lkn pia kuna upande wa pili ambao polisi wameusimamia kuwa amevamia na kuhatarisha amani hivyo kama jamhuri ina haki ya kushitaki kwa kuhatarisha amani. Lkn wakikosea na kushitaki kwa kunvamia kiwanja tu imekula kwao.

vile vile kesi inayomkabili kwa maeneo hayo mawili -mwenye mali kushitaki au polisi (kama jinai) bado makosa hayo yote yana haki ya dhamana tena yenye masharti nafuu kabisa, la ajabu DPP kazuia dhamana bila hata maelezo ya kina na yenye msingi wa kisheria. Utashi wa kuatarisha amani lazima uthibitishe kwa sababu za msingi ambazo mahakama inaridhika nazo, lkn kuwa DPP ana nguvu ya kusheria kuzuia bila kutoa sababu mahakama inakosa uwezo wa kuhoji uhalali wa amri ya DPP. Hapa utawala wa kisheria unatia shaka kwenye sheria zetu. Uhuru wa Mahakama unaingiliwa na Utawala-utengano wa kutegemeana wa mihimili ya dola unakosekana )separation of powers) bali kuna kuwapo na mhimili mmoja kuonekana juu ya mingine (serikali kuwa juu ya mahakama na bunge).

Ikiwa hakuna sababu za wazi hatari yake ndo wananchi kufikiria kuwa kuna dhuluma bila sababu ya msingi. Huo ndo ubinadamu-akikosa maelezo ya kina na ya kutosheleza haraka sana anahisi kudhulumiwa.

Bahati mbaya zaidi wa TZ tumeegemea mno kwenye kejeli hata pale ambapo hakuna sababu ya kufanya kejeli =kwenye hali tete kama hii tunahitaji zaidi maoni ya kujenga badala ya kubomoa. Umoja haujengwi kwa kukejeliana hususan kwa misngi ya dini. Iko siku tutajikuta tunalia na hakuna wa kutunyamazisha maana itakuwa aliyedhulumiwa na aliyedhulumu wote mumomumo.

Forum ingetumika kuimarisha maelewano na siyo kuyabomoa

Kibaka akiiba Sheria mkononi Ni kugeuzwa nyama Choma kwa Mafuta na tairi. Kwa hiyo ulitaka ponda naye avishwe tairi, Sheria mkononi
 
Kesi ya kina Ponda ni ya kuharibu na kuiba mali. Leo dhamana imeruhusiwa kwa wote isipokuwa Ponda ambaye amewekewa pingamizi na mxendesha mashtaka wa serikali
 
hizi ni good news kwangu kwa siku ya leo!
 
Kweli Kaka tuwaombee dua wamjue Mungu na kumrudia Mungu ili wakitoka huko jela wawe wamejifunza kuzitiii mamlaka na za nchi, na wajue kila jambo lazima litatuliwe kwa kufuata utaratibu na Sheria za nchi, ila sheria inayosema Dpp au Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa kuwa na mamraka ya kuweka affidavit ili kuzuia Dhamana kwa mtuhumiwa kwa kusema tu, nazuia dhamana for the Public interest iko pouwa huwezi hoji saaaana, Kandaaaa miiiizzzzaaaaa Ponda na wenzake, wake zao na waume zao huku out watu wanapeta nao,,,,,,,!!!!!
 
Back
Top Bottom