Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada ni mbabaishaji, hujatoa maelezo ya kutosha ya lini kesi hiyo imepangwa, kama hakimu ni yule yule ambaye kei si yake na sababu za kunyimwa dhamana ni nini????
Wakatabahu, amani kwenu....takbir. Tuwaombee duwa ndugu zetu.
hahaha. kama viongozi waislam mambumbu, amini uislam usingalifika tz au ungalikuwa ushapotea, maana watawala wote wanapiga vita uislam lkn bado ndio kwanza unashika kasiYani mimi niingie kwenye dini ambayo viongozi wake wengi ni mambumbumbu na wapumbavu? On my dead body
Hivi kwanini mashehe wengi wanakuaga wapumbavu? Naomba unijibu
Imani hiyo ndiyo inawatuma wakachome makanisa,
Waibe mali za kanisani. Wale mikate ya kanisani.
sasa huyo mpumbavu, standard7, mkosa haya,mchonganishi,mfitini,mzandiki,gaidi,mvuruga amani,msema hovyo,hayawani mwenye ibilisi, Ponda yuko kundi lipi kati ya hayo? Bila shaka na wewe ni standard 7 km Ponda ndio maana ni mwepesi wa kushawishika. sisi waislam tuliobahatika kutambua nini umuhimu wa shule hatuwezi kumfuata mpuuzi huyo. Ngoja anyee ndooo tu maana ni mchafuzi wa amani na tena kwa elimu kiduchu sana pumbavu zake
Ikiwa ma-Sheikh wetu unawaita wapumbavu? na hawa hapa unawaitaje:
1)Father Bernard Lynch, Gay Catholic Priest, Reveals He's Married To A Man, Non-Celibate Homosexuality and Roman Catholic priests - Wikipedia, the free encyclopedia
2) Homosexuality and Roman Catholic priests - Wikipedia, the free encyclopedia
3) Father Bob Pierson, Gay Priest, On Why Catholics Should Support Same-Sex Marriage (VIDEO)
4) Rome's Subculture of Gay Priests Rocks the Vatican - Newsweek and The Daily Beast
5) Catholic Priest Admits 14-Year Gay Marriage, Says Forced Celibacy Leads to Abuse
ya tawfiq,ya taqwa,ya tashrifu,ya sai baba,ya dar express,ya mtei......
Labeka mpenzi wangu, umeniita nije?
Labeka mpenzi wangu, umeniita nije?
Kwenye hii kesi ya Ponda kuna kitu cha kujifunza tatizo tunachukulia kishabiki. Kuna mwanasheria ambaye anaweza kujitolea kutuelezea kidogo, Kesi inayomkabili Ponda ni nini, na kwanini hawapewi dhamana? Nilimskia Lipumba wa CUF akidai kuwa kesi ya Ponda ni ya ardhi hivyo ingepelekwa mahakama ya ardhi, je ana hoja au ushabiki na yeye? Embu wansheria tupeni elimu kidogo you learned brothers and sisters
nimekuita hubby tuombe dua! ya al-taqwa....., ya al-tashrif....,, nakadhalika! u guys am missing u loads!Labeka mpenzi wangu, umeniita nije?
Double standard?kuna yule babu ajuza padre mfukuzwa mwizi wa mke wa mtu yupo tu anazurura mitaani akati anahusika na kifo cha mwangosi naskia alituma meseji kuwa atafanya mauaji kwa IGP......
unapojifanya mwislamu, ndio Unadhani utakubalika.
muislam wa kweli sio WeWe.
WEWE ni KAFIRI.
Hivi hata waislamu sio makafiri kwa wakristo? Lakini hii tabia ya kujiona bora kuliko yeyote aliyeumbwa na Muungu inatoka wapi?