lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Napenda kutoa pongezi za dhati kwa Serikali na kituo cha afya GAIRO, nimekwenda kupata HUDUMA majira ya saa 14:00.
Nimepokelewa vzr, toka mapokezi mpaka kwa daktari. Baada ya maelezo kwanza nimepimwa pressure.
Kisha nikaelekezwa niende MAABARA. nimechukuliwa vipimo. Jamani hili kipindi cha nyuma HALIKUWEPO uende mchana !!! Kwenye Zahanati ya UMMA!! upate vipimo!! yaani ningeambiwa njoo kesho kwa vipimo au nenda pale nje kwenye vipimo binafsi.
Nimepimwa na kupata dawa . Ahsanteni kwa HUDUMA BORA. HONGERENI pia kwa USAFI wa malengo yenu.
Choo safi.
Nimepokelewa vzr, toka mapokezi mpaka kwa daktari. Baada ya maelezo kwanza nimepimwa pressure.
Kisha nikaelekezwa niende MAABARA. nimechukuliwa vipimo. Jamani hili kipindi cha nyuma HALIKUWEPO uende mchana !!! Kwenye Zahanati ya UMMA!! upate vipimo!! yaani ningeambiwa njoo kesho kwa vipimo au nenda pale nje kwenye vipimo binafsi.
Nimepimwa na kupata dawa . Ahsanteni kwa HUDUMA BORA. HONGERENI pia kwa USAFI wa malengo yenu.
Choo safi.