Pongezi kwa baadhi ya Wamaasai

Pongezi kwa baadhi ya Wamaasai

Wanaharakati na wanasiasa wapumbavu hawakuona hayo maisha mabovu ya hizo jamii huko hifadhini. Hapo sasa ndio watapata hizo haki zao za msingi likiwemo la ujenzi wa makazi ya kudumu,kulima/kufanya kazi na kupata huduma za kijamii lakini pia kuepusha migogoro ya kila siku na wanyama pori.
 
Wajf wengi humu hawajui kama wamasai waliopo Ngorongoro ni geresha tu, hao jamaa wamejitoshereza kwa kila kitu, yaani kule polini ni sehemu ya kuhifadhia mifugo na kujineemesha kutokana na hifadhi

Maasai hao wamewekeza sana Arusha mjini, karatu na Loliondo, wana majumba, magari na mifugo mingi sana na baadhi yao wamesoma na wana elimu ya juu, ila wanawatumia wale walioitwa primitive kujineemesha kimaisha/kiuchumi

👉🏾Kaa chonjo.
 
Wajf wengi humu hawajui kama wamasai waliopo Ngorongoro ni geresha tu, hao jamaa wamejitoshereza kwa kila kitu, yaani kule polini ni sehemu ya kuhifadhia mifugo na kujineemesha kutokana na hifadhi

Maasai hao wamewekeza sana Arusha mjini, karatu na Loliondo, wana majumba, magari na mifugo mingi sana na baadhi yao wamesoma na wana elimu ya juu, ila wanawatumia wale walioitwa primitive kujineemesha kimaisha/kiuchumi

👉🏾Kaa chonjo.
Kumbe.? Ndio maana wanawajaza upepo wasiojitambua. Sasa acha wapigwe
 
Kumbe.? Ndio maana wanawajaza upepo wasiojitambua. Sasa acha wapigwe
Mkuu mimi siku zote huwa ni wa mwisho kushangilia jambo niwe nalifahamu au silifaham, sababu unatakiwa usikilize kutoka pande zote alafu ongeza na ulilonalo.

Haya mambo ya wamasai tunatakiwa kuwa makini sana, iwe mbuga imeuzwa au haijauzwa bali kuna mambo tunapaswa kuchukua chujio na kuchakata.

Kweli; hapo kuna watu wanaofaidika na primitive maasai na kuna wanaoumia kwa sababu ya ujinga wao.
 
Mkuu mimi siku zote huwa ni wa mwisho kushangilia jambo niwe nalifahamu au silifaham, sababu unatakiwa usikilize kutoka pande zote alafu ongeza na ulilonalo.

Haya mambo ya wamasai tunatakiwa kuwa makini sana, iwe mbuga imeuzwa au haijauzwa bali kuna mambo tunapaswa kuchukua chujio na kuchakata.

Kweli; hapo kuna watu wanaofaidika na primitive maasai na kuna wanaoumia kwa sababu ya ujinga wao.
Mkuu nimekuelewa. Mimi nimuumini wa kuwahamisha toka mwanzo hili jambo lilipoanza nilikua naamini wahamishwe. Kama usemavyo kuwa iwe mbuga inauzwa au vyovyote lakini kubwa ni wazi kuwa mbuga inapaswa kulindwa na ili ilindwe lazima watu hao wahamishwe kwa maana wanazidi kuzaliana na wengine wanahamia hapo hivyo huo uwingi wao na shughuli zao zitapelekea mbuga kutoweka. Kitu ambacho ni jambo baya katika utalii wetu
 
Mkuu nimekuelewa. Mimi nimuumini wa kuwahamisha toka mwanzo hili jambo lilipoanza nilikua naamini wahamishwe. Kama usemavyo kuwa iwe mbuga inauzwa au vyovyote lakini kubwa ni wazi kuwa mbuga inapaswa kulindwa na ili ilindwe lazima watu hao wahamishwe kwa maana wanazidi kuzaliana na wengine wanahamia hapo hivyo huo uwingi wao na shughuli zao zitapelekea mbuga kutoweka. Kitu ambacho ni jambo baya katika utalii wetu
Mkuu,
Umang'ang'ania "Wanazidi kuzaliana" kama vile ni jambo baya. Umeshajiuliza au kujadili na Hao "wanyama" wanaozaliana huko nao Wahamishwe?

Unashabikia utalii wakati hakuna hoja yeyote ile iwe ya Serikali, ya Viongozi, Jumuiya za kimataifa ambayo inadai kuwa Uhamisho wao ni kwa faida ya Utalii.

Una yako/yenu. msije mkaja kutalii mafuvu.

Amani ikufikie

Wacha uongo. Stop the Disinformation. Stop the Misinformation. and STOP the GENOCIDE.
 
Nakuhakikishia kuwa huu ndio mwisho wa wakenya na vibaraka wao kuishi, kulima na kulisha mifugo yao katika ardhi yetu kwa kisingizio cha umasai wa mchongo.
Hawanihusu.
Ardhi siyo yenu.

...wala sio ya Wakenya.

"NGORONGORO NI YA WAMASAI"

STOP THE GENOCIDE
 
Mkuu mimi siku zote huwa ni wa mwisho kushangilia jambo niwe nalifahamu au silifaham, sababu unatakiwa usikilize kutoka pande zote alafu ongeza na ulilonalo.

Haya mambo ya wamasai tunatakiwa kuwa makini sana, iwe mbuga imeuzwa au haijauzwa bali kuna mambo tunapaswa kuchukua chujio na kuchakata.

Kweli; hapo kuna watu wanaofaidika na primitive maasai na kuna wanaoumia kwa sababu ya ujinga wao.
Sasa hao waliokubali kuhamishwa ni wepi? Wale primitive au hao matajiri?? Na vipi kuhusu wafanyakazi wa hifadhi ambao pia wana mifugo yao humo hifadhini?
 
Habarini za Asubuhi

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi napenda kuwapongeza wamasai walio amua kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao kwasababu pale Ngorongoro hawana cha kurithi ni bola ata waende Msomela ata watoto na wajukuu watajua makazi ya vizazi vilivyopita yako wapi na watakua na cha kurithi watakua na mashamba nk kuliko kukaa hifadhini Ngorongoro bila kujenga nyumba nzuri bila umeme hakuna kuendeleza chochote maana sheria za hifadhi haziruhusu

Nawapongeza sana watafurahia maisha pale Msomela

Naomba kuwasilisha.

watakua na cha kurithi watakua na *mashamba * nk kuliko kukaa hifadhini Ngorongoro bila kujenga nyumba nzuri bila umeme hakuna

Hii inaonesha hata haujui asili ya wamasai, thamani ya kutunza mila na desturi. Maendeleo sio kuharibu asili na desturi za watu.
 
Mkuu,
Umang'ang'ania "Wanazidi kuzaliana" kama vile ni jambo baya. Umeshajiuliza au kujadili na Hao "wanyama" wanaozaliana huko nao Wahamishwe?

Unashabikia utalii wakati hakuna hoja yeyote ile iwe ya Serikali, ya Viongozi, Jumuiya za kimataifa ambayo inadai kuwa Uhamisho wao ni kwa faida ya Utalii.

Una yako/yenu. msije mkaja kutalii mafuvu.

Amani ikufikie

Wacha uongo. Stop the Disinformation. Stop the Misinformation. and STOP the GENOCIDE.
Kwenye hoja ya kuzaliana mimi naona msingi wake ni kwamba NCA ni fixed area, since walivyolitangaza kuwa ni conservation area kwa mara ya kwanza wakati wa ukoloni to-date. Au huwa wanapanua hilo eneo la uhifadhi mara kwa mara? On the other hand, watu humo ndani wamekuwa wanaongezeka na am sure sensa ya mwaka huu itaonyesha wameongezeka. Sasa tofauti na maeneo mengine, watu wamekuwa na tabia ya kuhama na kwenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini. Mfano ukienda Katavi leo hii utakuta wasukuma wengi sana, na kuna vijiji wamevi dominate. So kwa maoni yangu humo ndani hifadhini kuna kundi ambalo limekuwa linakandamizwa na huo mfumo...so hao kwa nionavyo kuhamia kwingine ni much better...
 
Back
Top Bottom