Pongezi kwa Jamii Forums kuendelea kuwa chombo cha vijana wa Kitanzania kuanza kutambua uhalisia wa dini

Pongezi kwa Jamii Forums kuendelea kuwa chombo cha vijana wa Kitanzania kuanza kutambua uhalisia wa dini

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Anaekuhubiria utalindwa na roho alie juu yeye mwenyewe analindwa na bodyguards 7.

Anaekuambia ukijitoa muhanga na watu wasio kuwa wa dini yako kuna pahala pako enzini, yeye amejichimbia chini tabata na mtoto mkali mixer kiti moto kwa juu

Fikra zetu zimeliwa
Pesa zetu zimeliwa
Utu wetu umeliwa

Wamekupotosha hadi umeanza kumchukia Mungu kwa maana wamemuweka katika misingi yao ya itikadi na sio misingi ya Mungu yeye binafsi.

Kwa maana wanajua ukijitambua na kufahamu kuwa Mungu yuko ndani yako hautawapelekea sadaka, hautaichukia israel, hautaichukia gaza, siku ya kukuita ukakate watu vichwa hautakuwepo etc
 
Anaekuhubiria utalindwa na roho alie juu yeye mwenyewe analindwa na bodyguards 7.

Anaekuambia ukijitoa muhanga na watu wasio kuwa wa dini yako kuna pahala pako enzini, yeye amejichimbia chini tabata na mtoto mkali mixer kiti moto kwa juu

Fikra zetu zimeliwa
Pesa zetu zimeliwa
Utu wetu umeliwa

Wamekupotosha hadi umeanza kumchukia Mungu kwa maana wamemuweka katika misingi yao ya itikadi na sio misingi ya Mungu yeye binafsi.

Kwa maana wanajua ukijitambua na kufahamu kuwa Mungu yuko ndani yako hautawapelekea sadaka, hautaichukia israel, hautaichukia gaza, siku ya kukuita ukakate watu vichwa hautakuwepo etc
Hata huyo Mungu mwenyewe hujathibitisha yupo.

Bado unacheza humohumo tu.
 
Nilipo huku misikiti inasimamishwakama uyoga...
Watu wanagaiwa nyama za kondoo bure Kila siku....

Watoto hawapati elimu Dunia .... Wanapewa elimu ahera .. huku wakipewa chakula Kwa kiasi kidogo as if ni behavioral modification rogramme
Nimepita hapa kanisani watoto wa masikini wanaamka mmoja kwa mwingine wakipeleka pesa zao za kula kwa matumaini ya kununua wokovu..
 
Back
Top Bottom