Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wanakaririshwa mistari ndani ya kitabu cha mathayo kwa malipo yanaitwa sadakaHahahahah
Wananyweshwa maji na mafuta.
Utige ? 😂😂😂😂 wina luhala we mkwamisi veve. Winywa ugimbi saisi 😂😂😂😂😂Mafii Yao!!
Vyote ni batili.Wengine wanakaririshwa mistari ndani ya kitabu cha mathayo kwa malipo yanaitwa sadaka
Jau sanaVyote ni batili.
Kobazi, wavaa magwanda, wavaa irizi shingoni wote ni utapeli
Ebu fikiria mkuu.
Kwanini nisio dada yako, au wewe usioe dada yako, eti kisa kuna jmaa kakaa pale juu kasema bwana atakulaani kwa maana sio wa dini yako. BULLSHIT
Baadae wanakuja online kutuambia masikini pesa hazitafutwi zina tegwaWatu wametajirika na pesa za watu zinazoitwa sadaka 🤮🤮
Umejuaje kama hayupoHata huyo Mungu mwenyewe hujathibitisha yupo.
Bado unacheza humohumo tu.
Kwa muktadha wa uzi huu, sijaandika Mungu hayupo.Umejuaje kama hayupo
Uzi huu ni sawa kabisa mkuu...Anaekuhubiria utalindwa na roho alie juu yeye mwenyewe analindwa na bodyguards 7.
Anaekuambia ukijitoa muhanga na watu wasio kuwa wa dini yako kuna pahala pako enzini, yeye amejichimbia chini tabata na mtoto mkali mixer kiti moto kwa juu
Fikra zetu zimeliwa
Pesa zetu zimeliwa
Utu wetu umeliwa
Wamekupotosha hadi umeanza kumchukia Mungu kwa maana wamemuweka katika misingi yao ya itikadi na sio misingi ya Mungu yeye binafsi.
Kwa maana wanajua ukijitambua na kufahamu kuwa Mungu yuko ndani yako hautawapelekea sadaka, hautaichukia israel, hautaichukia gaza, siku ya kukuita ukakate watu vichwa hautakuwepo etc
Nakuelewa sana mkuu.Tuachen mada za hizi dini
Dini inaleta aman ya nafsi na moyo hatujui kama ni za kwel au laah ila zinatupa aman na faraja