Hata huyo Mungu mwenyewe hujathibitisha yupo.Anaekuhubiria utalindwa na roho alie juu yeye mwenyewe analindwa na bodyguards 7.
Anaekuambia ukijitoa muhanga na watu wasio kuwa wa dini yako kuna pahala pako enzini, yeye amejichimbia chini tabata na mtoto mkali mixer kiti moto kwa juu
Fikra zetu zimeliwa
Pesa zetu zimeliwa
Utu wetu umeliwa
Wamekupotosha hadi umeanza kumchukia Mungu kwa maana wamemuweka katika misingi yao ya itikadi na sio misingi ya Mungu yeye binafsi.
Kwa maana wanajua ukijitambua na kufahamu kuwa Mungu yuko ndani yako hautawapelekea sadaka, hautaichukia israel, hautaichukia gaza, siku ya kukuita ukakate watu vichwa hautakuwepo etc
Alafu wewe ni Raia wa kawaida na umebeba BangiDuh nimepitisha gari jeshini
,😂😂😂😂
Nilipo huku misikiti inasimamishwakama uyoga...Hakika mkuu
Huwezi ukaukubali huu kwa akili yako ndogo uliyonayoMafii Yao!!
Kaa kijanja just feed their ego ukizingua tuu umeendaHahaha wale hawajuagi hilo mtu wangu
Wanakurukisha kichura tu
Hakika mkuuNilipo huku misikiti inasimamishwakama uyoga...
Watu wanagaiwa nyama za kondoo bure Kila siku....
Watoto hawapati elimu Dunia .... Wanapewa elimu ahera .. huku wakipewa chakula Kwa kiasi kidogo as if ni behavioral modification rogramme
Then those mfs will turn against us na tutakuja sema Hatukujua ..Hakika mkuu
Wanafanya mental structuring
Nani atamfunga paka kengele...They are the most egoist human beings sijawahi kuona .
Sijui wanajionaje wale jamaa
Nimepita hapa kanisani watoto wa masikini wanaamka mmoja kwa mwingine wakipeleka pesa zao za kula kwa matumaini ya kununua wokovu..Nilipo huku misikiti inasimamishwakama uyoga...
Watu wanagaiwa nyama za kondoo bure Kila siku....
Watoto hawapati elimu Dunia .... Wanapewa elimu ahera .. huku wakipewa chakula Kwa kiasi kidogo as if ni behavioral modification rogramme