Pongezi kwa Jeshi letu kwa kuimarisha ulinzi na usalama Afrika ya Kati

Pongezi kwa Jeshi letu kwa kuimarisha ulinzi na usalama Afrika ya Kati

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Luteni Jeneral Nyone amesema "Toka Kikosi kilipoanza jukumu katika robo ya mwisho ya mwaka 2023 Kimetekeleza majukumu yake ya Ulinzi wa Amani kwa weledi na kuweka mazingira salama na tulivu kwa Wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kuendelea na shughuli za kiuchumi na kijamii na pia kuwezesha Mashirika mengine ya Umoja wa Mataifa kutekeleza majukumu yake kwa urahisi.

Aliendelea kwa kusema nishani hizi ninazowapa ni uthibitisho wa kutambua mchango mzuri wa kazi mliyoifanya hapa nchini Afrika ya kati kwa kipindi cha takribani miezi 10".


1725992935334.png
 
Luteni Jeneral Nyone amesema "Toka Kikosi kilipoanza jukumu katika robo ya mwisho ya mwaka 2023 Kimetekeleza majukumu yake ya Ulinzi wa...
hilo ni niongoni mwa majukumu muhimu mazito na ya maana sana yanayoipa Tanzania heshima kubwa na kuaminika mno Kimataifa..

well done our TPDFs for the good job abroad 🐒
 
Me mtanzania wa madibira huku nanufaikaje na wao kuwa huko africa ya kati?
 
Luteni Jeneral Nyone amesema "Toka Kikosi kilipoanza jukumu katika robo ya mwisho ya mwaka 2023 Kimetekeleza majukumu yake ya Ulinzi wa Amani kwa weledi na kuweka mazingira salama na tulivu kwa Wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kuendelea na shughuli za kiuchumi na kijamii na pia kuwezesha Mashirika mengine ya Umoja wa Mataifa kutekeleza majukumu yake kwa urahisi.

Aliendelea kwa kusema nishani hizi ninazowapa ni uthibitisho wa kutambua mchango mzuri wa kazi mliyoifanya hapa nchini Afrika ya kati kwa kipindi cha takribani miezi 10".


View attachment 3092738
Watu wanatekwa na kuuwawa mchana kweupe hapo Buguruni msituambie habari za usalama wa Africa ya Kati tafadhali!
 
Watu wanatekwa na kuuwawa mchana kweupe hapo Buguruni msituambie habari za usalama wa Africa ya Kati tafadhali!
Sasa hiyo siyo kazi ya jeshi la wananchi hiyo ni kazi ya wizara ya mambo ya ndani specifically polisi na jamii kwa ujumla. Halafu tusiwe watu wakukosoa tu wanapofanya vizuri tupongeze pia .
 
Back
Top Bottom