kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Nachukua nafasi hii kuipongeza KAMATI ya utendaji kuamua KUMSIMAMISHA UANACHAMA MZEE Kilomoni kutokana na kufungua kesi mahakamani.Pia kumwondoa katika BARAZA la wadhamini la klabu.Mzee Kilomoni unatakiwa ujue mpira Wa Karne hii ni tofauti na mpira Wa MIAKA yenu.Mpira Wa sasa ni biashara ndio Maana bila FEDHA huwezi kufanya usajili wakati Wa MIAKA ya nyuma ilikuwa ni mapenzi ya mchezaji.Mzee Kilomoni Mchezaji Neimar Wa PSG ndio mchezaji ghali duniani ni sababu ya FEDHA.Kwa hiyo Simba inatakiwa kubadilika na kuwa ya kibiashara zaidi ili iweze kuwa na FEDHA za kununua kina Neimar.Pongezi sana Kwa maamuzi kwani huyo mzee ni Mpinga maendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app