HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Tatizo la Tanzania ni wanasiasa kuvhezea Elimu yetu. Kinachofanyika sasa kinapaswa kiendano na vigezo vya udahili.
Mtu hapaswi somea udaktari kama alifeli Form Four.
Mwalimu asiwe mtu aliyefeli.
Ikiwezekana walimu walio makazini wafanyiwe tathmini na kustaafishwa kwa ulazima kwa maslahi ya baadaye
Mtu hapaswi somea udaktari kama alifeli Form Four.
Mwalimu asiwe mtu aliyefeli.
Ikiwezekana walimu walio makazini wafanyiwe tathmini na kustaafishwa kwa ulazima kwa maslahi ya baadaye