Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Nawapongeza sana wana lunyasi wotee kwa umoja huu mlioonyesha kwa timu yetu dhidi ya wydad hapo jana...
Kuna baadhi ya wana utopolo hawaamini macho yao..
Kwanza tulimfunga wydad kwa Mkapa japo wao wanamuogopa mnoo yani walimuona kama hafungiki na pia waliamini tungeoga magoli ila sio kwa mnyama Simba..kuna wehu wanahesabu zile penati wanajisahaulisha kwamba zilikua 4 kwa 3..yani wydad kwetu alisanda.
Pili walijua kwa kutoka kwetu jana mtandaoni pasingekalika yani walitegemea matusi kwa kocha,matusi kwa kina Chama..Chama ambae ametuletea goli bora la wiki...Chama ambaye aliingia kwny mchezaji bora wa wiki..kisa tuu hakuperfom jana vzr tayari ngengaa..
Utopwox walitarajia vurugu kama sio leo basi kesho kocha atimuliwe..hilo halipo kocha huyu ni wa viwango vya juu sana bado yupo sanaa
Mwisho niwapongeze wachezaji wetu kwa kupambana sanaaa..hiii ilikua yetu ni bahati tuu haikuwa kwetu..
Viva Simba
Simba nguvu moja
Kuna baadhi ya wana utopolo hawaamini macho yao..
Kwanza tulimfunga wydad kwa Mkapa japo wao wanamuogopa mnoo yani walimuona kama hafungiki na pia waliamini tungeoga magoli ila sio kwa mnyama Simba..kuna wehu wanahesabu zile penati wanajisahaulisha kwamba zilikua 4 kwa 3..yani wydad kwetu alisanda.
Pili walijua kwa kutoka kwetu jana mtandaoni pasingekalika yani walitegemea matusi kwa kocha,matusi kwa kina Chama..Chama ambae ametuletea goli bora la wiki...Chama ambaye aliingia kwny mchezaji bora wa wiki..kisa tuu hakuperfom jana vzr tayari ngengaa..
Utopwox walitarajia vurugu kama sio leo basi kesho kocha atimuliwe..hilo halipo kocha huyu ni wa viwango vya juu sana bado yupo sanaa
Mwisho niwapongeze wachezaji wetu kwa kupambana sanaaa..hiii ilikua yetu ni bahati tuu haikuwa kwetu..
Viva Simba
Simba nguvu moja