Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kwani CAF waliwapiga fine ya nn? I mean kosa lilikuwa nini?Aliwaambia ule ni ulozi na nani?? Huwa nashanga ndo maana huwa sikoment kwny hyo mada..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani CAF waliwapiga fine ya nn? I mean kosa lilikuwa nini?Aliwaambia ule ni ulozi na nani?? Huwa nashanga ndo maana huwa sikoment kwny hyo mada..
😅😅😅 Mila za timu yenuTulidumisha mila.😜
Kesho najua tutarula na warembo wa yangaHahaa pole mkuu hukujaribu tuu bahati yako..labda ungekaibua ka shost ka yanga kanakojifanya Simba..kwamba kana hudhuni kumbe wala
Ile ilikuwa ni faini ya kutovuta sigara hadharani.Kwani CAF waliwapiga fine ya nn? I mean kosa lilikuwa nini?
Sahihi.Mila ziheshimiwe.😅😅😅 Mila za timu yenu
Teh teh teh!Ila jamaa anajua kutingisha manyonyo!Yupo nyonyo,yupo titi!😂😂😂😂Kila la heri...matiti wanaanzia kuyatingishia uwanjani
Mkuu wanastahili pongezi kwa kubeba kombe lao la siku zote 😅😅Hapa hakuna cha pongezi wala nini! Zaidi unajifariji tu baada ya kuishia kwenye robo fainali yenu ile ile.
Hainihusu kivipi, na wakati timu yenu kila mwaka ikijitahidi sana inaishia hatua ya robo fainali! Mkitolewa, mnaaza tambo za aina hii!Haikuhusu hii...
Nakwambia hiviii nawapa pongezi mashabiki wa Simba ww hii haikuhusu labda kama una hoja nyingine nikusikilize...Hainihusu kivipi, na wakati timu yenu kila mwaka ikijitahidi sana inaishia hatua ya robo fainali! Mkitolewa, mnaaza tambo za aina hii!
Hebu mfanye kuwaiga kaka zenu Yanga. Kesho wanatinga hatua ya nusu fainali kibabe. Yaani watampiga mtu nje ndani. Na makombe ya ndani yote tunachukua kwa mara nyingine tena.
Sentensi hiyo haujakaa vema."Kaka zenu"?Timbwilitimbwili ndiyo akina kaka?Ni makaka wenye utaahira!😂😂😂Hainihusu kivipi, na wakati timu yenu kila mwaka ikijitahidi sana inaishia hatua ya robo fainali! Mkitolewa, mnaaza tambo za aina hii!
Hebu mfanye kuwaiga kaka zenu Yanga. Kesho wanatinga hatua ya nusu fainali kibabe. Yaani watampiga mtu nje ndani. Na makombe ya ndani yote tunachukua kwa mara nyingine tena.
Vp mkuu,zile hamsa uliziona jana???tunajua mlioumia ni nyie kuliko sisi.Hapa hakuna cha pongezi wala nini! Zaidi unajifariji tu baada ya kuishia kwenye robo fainali yenu ile ile.