Pongezi kwa mashabiki wa Simba

Hahaa pole mkuu hukujaribu tuu bahati yako..labda ungekaibua ka shost ka yanga kanakojifanya Simba..kwamba kana hudhuni kumbe wala
Kesho najua tutarula na warembo wa yanga
 
Haikuhusu hii...
Hainihusu kivipi, na wakati timu yenu kila mwaka ikijitahidi sana inaishia hatua ya robo fainali! Mkitolewa, mnaaza tambo za aina hii!

Hebu mfanye kuwaiga kaka zenu Yanga. Kesho wanatinga hatua ya nusu fainali kibabe. Yaani watampiga mtu nje ndani. Na makombe ya ndani yote tunachukua kwa mara nyingine tena.
 
Nakwambia hiviii nawapa pongezi mashabiki wa Simba ww hii haikuhusu labda kama una hoja nyingine nikusikilize...
Kama hoja yako ni hyo hapo juu huku kwetu unyamani haina mashiko...
Huku kwetu mkuu Tate Mkuu huku kwetu ni pongezi kwa timu na mashabiki kwa spirit waliyonayo...
 
Sentensi hiyo haujakaa vema."Kaka zenu"?Timbwilitimbwili ndiyo akina kaka?Ni makaka wenye utaahira!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…