Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, yaani ameamua kujilipua ili maisha yaende...
wa kawaida tu mbn.Ni mzurii
Kwa hyo emz zake alikuwa Ana firana had kupata ukimwi
Kwa hyo emz zake alikuwa Ana firana had kupata ukimwi
Vijana vijana ngoma aionekani kwa macho,dada huyo kajikubali hali yake ndomana amenawiliUyo dada namjua Hana ngoma Wala nini ameamua tu njia ya kuingia town
Watanzania muanze tumia dawa kupunguza maumivuKuna watu wananunua hadi follower's ili wawe na watu wengi...
Nimeshuhudia mtu kanunua Instagram 10k kwa elfu 40 tu...
Unashangaa nn kwani kuna cha ajabu chini ya jua?Kwa hyo emz zake alikuwa Ana firana had kupata ukimwi
labda hata kwa uyuZama hizi hela ipo kwenye content na umaarufu social media..
Unapopata followers wengi unapata dili za hela nyingi kuliko kuajiriwa ofisini mshahara laki kazaa ama milioni 1
Mwijaku na upuuzi wake kwa mwezi anatengeneza zaidi ya milioni 10
MC garab na content zake za harusi za kishua kwa mwezi anatengeneza zaidi ya milioni 20. Maana kila mpenda show off anataka ampe kazi Garab ili apostiwe kwenye page yake
Kula tunda kimasihara