Ulikuwa ukipita,unasikia halufu ya uozo. Baada ya madada poa kuondolewa,halufu haipo tena.
Unamaanisha wao ndo walikuwa na halufu ya uozo? Kwenye katani au nyukilia zao? Ebu tueleze. Na ulikuwa ukifata nini mpaka unasikia hiyo harufu? Au kuna kingine umeficha!
Unamaanisha wao ndo walikuwa na halufu ya uozo? Kwenye katani au nyukilia zao? Ebu tueleze. Na ulikuwa ukifata nini mpaka unasikia hiyo harufu? Au kuna kingine umeficha!