Hawa jamaa kipindi chao kimejikita katika ueledi na sio uchonganishi. Habari zao zinazingatia taarifa rasmi na si vinginevyo.
Katika chambuzi zao hawaegemei upande wowote, na wanaongea wakiwa relaxed kabisa. Hongera sana Eddo na crew yako.
Ila mshauri Yusuf Aboubakari Mkule aache kumuiga Kitenge hasa namna ya uulizaji wa maswali.
Upande wa pili Sports HQ imekosa weledi. Wanaoharibu zaidi ni Jemedari Said na Oscar hasa ongea yao ya kutumia nguvu utadhani ni ugomvi.
Kipindi chao kimejikita katika kukomoana na watu flani, kinachambua zaidi tetesi kuliko taarifa rasmi na chambuzi zao hujaa mahaba na kuongozwa na hisia.
Hongera sana Diamond, Majizzo jitafakari!
JamiiForums mobile app
Katika chambuzi zao hawaegemei upande wowote, na wanaongea wakiwa relaxed kabisa. Hongera sana Eddo na crew yako.
Ila mshauri Yusuf Aboubakari Mkule aache kumuiga Kitenge hasa namna ya uulizaji wa maswali.
Upande wa pili Sports HQ imekosa weledi. Wanaoharibu zaidi ni Jemedari Said na Oscar hasa ongea yao ya kutumia nguvu utadhani ni ugomvi.
Kipindi chao kimejikita katika kukomoana na watu flani, kinachambua zaidi tetesi kuliko taarifa rasmi na chambuzi zao hujaa mahaba na kuongozwa na hisia.
Hongera sana Diamond, Majizzo jitafakari!
JamiiForums mobile app