Pongezi kwa Taifa stars

Pongezi kwa Taifa stars

ramso mgumu

Member
Joined
Sep 2, 2019
Posts
37
Reaction score
27
Hongera sana timu yetu ya taifa kwa kupata sare ya magoli.
Kwa mkapa tunaitaji ushindi au Bila bila
Mungu ibaliki Tanzania
Mungu ibaliki Taifa stars
IMG_20190904_181114.jpeg
 
Tukipata ushindi tunachukua kikombe au? Haya mambo siyajui sanaa.
 
Kwa namna mechi ya jana ilivyokua, hakika wakija bongo watapigwa tu. Sema tu benchi la ufundi hawana budi kuzifanyia kazi changamoto chache zilizojitokeza hasa kipindi cha pili za timu yetu kukata pumzi na hivyo kuruhusu mashambulizi ya mfululizo kupitia upande wa beki mbili wetu.
 
Ila timu yetu ikifungwa hatutaki tuoni mapovu humu Mara hoo wachezaji wabaya wakati hawa hawa wamepata point 1 away.Tujifunze kupenda timu yetu kwenye shida na raha
 
Back
Top Bottom