Pongezi kwa Zakazakazi kuufafanua mgogoro wa Israel na Palestina kwa facts na kuweka udini pembeni

Ukaldayo ilikuwa ni sehemu katika nchi ya Iraq ya sasa.
kwa hyo kumbe wayahudi hawapo pale middle east kimakosa siyo?, je mtu akikuambia kuwa ukaldayo ambayo ilikuwa sehemu ya iraq ya sasa kama usemavo ndo hili taifa la israel ya sasa utakataa?
 
kwa hyo kumbe wayahudi hawapo pale middle east kimakosa siyo?, je mtu akikuambia kuwa ukaldayo ambayo ilikuwa sehemu ya iraq ya sasa kama usemavo ndo hili taifa la israel ya sasa utakataa?
Who lived in Palestine before Israel?


It is part of the broader area known as the Levant, which has been a crossroads of various civilizations throughout history. Before 1948, Palestine was home to a diverse population of Arabs, Jews, and Christians, as all groups had religious ties to the area, especially the city of Jerusalem
 
Kabla ya kusambaa huko ulaya yote ambako walikuwa hawatakiwi, walitokea wapi na kusambaa huko?
Karibia Mashariki ya kati yote na Afrika. Ukisoma historia waliwepo ambazo leo zinaiwa "Syria, Jordan, Egypt, Saudi Arabia, Iraq, Iran, Yemen, Ethiopia, Morocco. Wengine mpaka leo wapo Yemen, Iran, Ethiopia, Morocco na nchi zingine nyingi.

Wachaga pia wana asili ya kiyahudi.
 
Warumi nao wapo kama kuna lao lilivyo utata mtupu
 
All in all tuweke Udini pembeni hawa ni watu kama sisi wanapaswa kuishi na kupata mahitaji ya msingi

Kwa dunia ilivyo sasa hakuna duru muhimu ya kuleta suluhisho kama kuongea baina ya pande mbili, msipoongea bado hamuwezi kuelewana

Nb; hatuwezi elewana kwa risasi na mabomu
 
Code:
Wayahudi walivyokwenda utumwani Misri , nchi Yao ilikaliwa na Nani?
Yalikaliwa na Esau na kizazi chake,kulwa wa Yakobo(Israel).
 
Tukiacha kutumia vitabu vya imani.
Tutumie historia.
Maana lazima tujiulize kuwa je
1. Mayahudi ni watu waliokuwepo duniani? Na walikiwa sehemu gani kijiografia?
2. Je Wapalestina ni akina nani kiasili na walikuwa eneo lipi?
Je hawa watu wawili nani amekuwepo wapi kabla ya mwingine?
KIHISTORIA.
Wayahudi walitawaliwa na Warumi na kuuawa na jengo la kuchomwa moto na kamanda wa Keshi la kirumi mwaka 70AD.
.....
....
Mwingine aendeleze baada ya Mrumi naa
 
kwa hyo kumbe wayahudi hawapo pale middle east kimakosa siyo?, je mtu akikuambia kuwa ukaldayo ambayo ilikuwa sehemu ya iraq ya sasa kama usemavo ndo hili taifa la israel ya sasa utakataa?
Wa-Israel wenyewe kwa maandiko yao wanaanzia historia yao hapo walipo leo kwamba Mungu ndipo alipompa Ibrahim baada ya kumuambia atoke Ukaldayo sasa mtu gani mwingine atadai Iraq ni kwa Wa-Israeli?!
 
But Phalestin was,and who are they now?.
 
Wewe umevurugwa na kuchanganyikiwa kabisa, uko delusional
Huo ndiyo ukweli, kama una maoni yako andika lakini usinambie mimi kaandike hivi au vile. Ni ujinga huo.
 
Nenda Israel kahiji, wataanza kukutembeza kuanzia Western/Wailing Wall. Kwa msaada zaidi unaweza kumtafuta Job Ndugai akuelekeze. Vitabu vya Historia anza kusoma Israel and the Nations; F.F Bruce, David F Payne.
Hija ya Waisrael unafahamu ni dini tatu za kizazi cha Abraham hapo hapo sehemu moja, wanapishana milango tu.
 
Kwa nini uanzie kwa mrumi wa juzi na siyo tawala za mwanzo huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…