Pongezi PSCU: Shajara ya Rais Kila wiki

Pongezi PSCU: Shajara ya Rais Kila wiki

Kafrican

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
7,251
Reaction score
7,037
Naam, Naskia Raha sana baada ya kuona hii



Nataka ni pongeze PSCU digital ambao ndo hu husika na upigaji wa picha na video za rais. Leo hii nimeona wameeweka video hio hapo juu kwa facebook page ya Rais, nimeiangalia na kuridhika kabisa, hili ni jambo zuri sana, naomba hii iwe ni desturi, kila wiki waweke maandishi na video ya yote muhimu yaliyo fanywa na rais ama wafanyikazi wake kimaendeleo ili wananchi wajue na kufahamu maendeleo ya nchi na ya ulimwengu yanayo husisha kenya.
 
Afu hapo mwisho mwisho, umeona vile botswana hawana majumba marefu lakini mji uko sawa kabisa!!!! mji msafi unapendeza na umejengwa vizuri........

Alafu kwa wale hupenda kusema kenya haikusaidia nchi yoyote wakati za uhuru, skiliza hapo rais wa botswana akitoa shukrani kwa Kenya akisema tuliwasaidia hapo zamani na pia baada ya uhuru kwa mambo ya ufanyikazi wa umma, madaktari, mambo ya ulinzi(Jeshi), masomo....nk
 
Back
Top Bottom