Pongezi Rais Magufuli kuboresha Utumishi wa Umma, Watia nia kuachia ofisi: Mawaziri Igeni

Pongezi Rais Magufuli kuboresha Utumishi wa Umma, Watia nia kuachia ofisi: Mawaziri Igeni

Mao Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2018
Posts
210
Reaction score
231
Wasalamu wana Jukwaa!
Nianze kwanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa Rehma zake na kutuvusha katika janga zito.

Sasa nijielekeze moja kwa moja kwenye hoja yangu. Hoja inahusu Moyo wa dhati wa Mh. Rais kuboresha Utumishi wa Umma kwa kuhimiza kutokuwa na TAMAA YA VYEO KWA WATUMISHI WA UMMA.

Mwanzo mwanzo wakati akiliongelea hili niliona Kama Ni utani ukizingatia tuliwahi kuwa na wabunge ambao ni Mkuu wa Wilaya, na Muda huo huo amepewa kukaimu ukuu wa Mkoa. Ilikuwa ni mtu mmoja vyeo 4 hadi vi4.

Leo ameweka bayana kuwa Kama unaenda jimboni basi achia nafasi uliyonayo. Leo amesema wanaoenda jimboni waachie nafasi zao. Na wanaoomba ruhusa nafasi zao zimechukuliwa. HILI NI JIPYA NA KUBWA KATIKA UTUMISHI WA WILAYA

Sasa basi Mawaziri Nao waige jambo hili jema, Mnao wakurugenzi katika maeneo yenu ya Taasisi zenu. Watanzania wako wengi na wanaweza kutimiza majukumu yao. Tuwape nafasi. TENDENI KAMA RAIS MAGUFULI KATIKA NAFASI ZENU.

Wanaoenda majimboni waende, Ofisi wapewe wasio na nia za siasa ili wamsaidie Mh. Rais.

Mashirika ya Umma, Wakala za Serikali, na Mamlaka kadhaa wako watu. Kipindi hiki Cha Uchaguzi kinahitaji utendaji uendeleee.


Pongezi Mh. Rais kuboresha Utumishi wa Umma
 
Wacha upuuzi wako kaboresha vipi utumishi wa umma wakati kashindwa kuongeza mishahara kwa miaka mitano? Una akili timamu wewe!? 😳😳😳

Wasalamu wana Jukwaa!
Nianze kwanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa Rehma zake na kutuvusha katika janga zito.

Sasa nijielekeze moja kwa moja kwenye hoja yangu. Hoja inahusu Moyo wa dhati wa Mh. Rais kuboresha Utumishi wa Umma kwa kuhimiza kutokuwa na TAMAA YA VYEO KWA WATUMISHI WA UMMA.

Mwanzo mwanzo wakati akiliongelea hili niliona Kama Ni utani ukizingatia tuliwahi kuwa na wabunge ambao ni Mkuu wa Wilaya, na Muda huo huo amepewa kukaimu ukuu wa Mkoa. Ilikuwa ni mtu mmoja vyeo 4 hadi vi4.

Leo ameweka bayana kuwa Kama unaenda jimboni basi achia nafasi uliyonayo. Leo amesema wanaoenda jimboni waachie nafasi zao. Na wanaoomba ruhusa nafasi zao zimechukuliwa. HILI NI JIPYA NA KUBWA KATIKA UTUMISHI WA WILAYA

Sasa basi Mawaziri Nao waige jambo hili jema, Mnao wakurugenzi katika maeneo yenu ya Taasisi zenu. Watanzania wako wengi na wanaweza kutimiza majukumu yao. Tuwape nafasi. TENDENI KAMA RAIS MAGUFULI KATIKA NAFASI ZENU.

Wanaoenda majimboni waende, Ofisi wapewe wasio na nia za siasa ili wamsaidie Mh. Rais.

Mashirika ya Umma, Wakala za Serikali, na Mamlaka kadhaa wako watu. Kipindi hiki Cha Uchaguzi kinahitaji utendaji uendeleee.


Pongezi Mh. Rais kuboresha Utumishi wa Umma
 
2015 alipata 58% ,awamu hii minus 20 unapata 38% ndio ya baba yenu
Mkuu hiyo "matrix" uliyoitumia inakubaliana kabisa kimahesabu ya "forecast" na "trend analysis" kwa mwenendo wa kihistoria wa matokeo ya uchaguzi wa 2005 & 2010 kipindi cha awamu ya nne. Kudos bro.
 
Acha tu Mkuu, wanaropoka ropoka tu bila ya kuwa na ushahidi wowote ule.
Kwahiyo ushahidi wa kuboresha utumishi wa uma ni kuongeza mishahara peke yake??
 
Wacha upuuzi wako kaboresha vipi utumishi wa umma wakati kashindwa kuongeza mishahara kwa miaka mitano? Una akili timamu wewe!? 😳😳😳

Iko mitazamo mingi katika hili, Lkn anastahili pongezi

1. Amepunguza Sana kuvuja kwa pesa ya Umma kupitia mishahara hewa, wasio na sifa stahiki na kuwahi kwa mishahara
2. Uwajibikaji wa watumishi wa Umma kwa jamii umeongezeka. Hofu ya watendaji imesaidia watu kutulia maofisini. Zamani ilikuwa afisa anaenda kunywa chai saa 4 anarudi kufunga ofc
3. Ameweka wazi kutoongeza mishahara ili kujenga nchi, ikiwemo kufuta Safari za nje ambazo hazikuwa na umuhimu

Lkn pia sio lazima wote tuwe na mitazamo Sana. Matusi Ni kielelezo Cha kukosa hoja
 
Nje ya mada: Hivi kwenye Halmashauri/ Wilaya moja kuna mkuu wa wilaya (DC), Kuna Mkurugenzi mtendaji (DED) kuna Mbunge (MP), kuna afisa tawala (DAS). Hivi hao woooote wanakazi gani? Mbona kama ni kusababisha mgongano wa kimamlaka na kuwekeana mabifu ambayo hayana maana?
 
Hehe safari hii watanyooka😅

ni fursa kwa raia wasio watumishi wa umma kutia nia na kupata ubunge
 
Siyo kweli huyo ni MWIZI sana. CAG Assad aliandika katika ripoti ya 2017/2018 kwamba 1.5 trillions zimetoweka hazina na hawakupewa maelezo ya kuridhisha. CAG Kachere katika ripoti yake 2018/2019 aliandika 1.2 trillions zimetoweka hazina na hakupewa maelezo ya kuridhisha.

Hizo 2.7 trillions ni pesa nyingi sana ambazo kwa mtu ANAYEJALI angeunda tume huru ili ifanye uchunguzi wa kina lakini ALIGOMA.

Achilia mbali mabilioni anayochota bila idhini ya Bunge kununua wabunge madiwani na trillions alizochota kufanya manunuzi yasiyo na tija kwa Watanzania kwa mfano kununua ndege ambazo sasa zinapigwa vumbi airport na kuingiza hasara ya mabilioni na madudu mengine chungu nzima.

Acha KUKURUPUKA na kuandika habari ambazo SI KWELI.

Iko mitazamo mingi katika hili, Lkn anastahili pongezi

1. Amepunguza Sana kuvuja kwa pesa ya Umma kupitia mishahara hewa, wasio na sifa stahiki na kuwahi kwa mishahara
2. Uwajibikaji wa watumishi wa Umma kwa jamii umeongezeka. Hofu ya watendaji imesaidia watu kutulia maofisini. Zamani ilikuwa afisa anaenda kunywa chai saa 4 anarudi kufunga ofc
3. Ameweka wazi kutoongeza mishahara ili kujenga nchi, ikiwemo kufuta Safari za nje ambazo hazikuwa na umuhimu

Lkn pia sio lazima wote tuwe na mitazamo Sana. Matusi Ni kielelezo Cha kukosa hoja
 
Siungi mkono hoja, kuweka zuio kwa watumishi kutimiza haki yao ya kikatiba kuchaguliwa ni kulikabidhi taifa kwa aina ileile ya wabunge ambao wengi hawajapata exposure ya utendaji kazi wa ngazi mbalimbali na pia hawajui kwa undani mahitaji ya watanzania waliopo katika makundi hayo yaliyopigwa marufuku.

Kwa lugha rahisi ni kwamba, wanaoruhusiwa kugombea ni wastaafu, waliochoka kazi zao, graduates ambao bado hawajapata ajira popote, wasomi wenye elimu ya kati na wasio na elimu kabisa ambao wapo mtaani bila kazi ama kujiajiri.
Makundi haya tunategemea yakalete mabadiliko ya sera wasizozifahamu?
 
Iko mitazamo mingi katika hili, Lkn anastahili pongezi

1. Amepunguza Sana kuvuja kwa pesa ya Umma kupitia mishahara hewa, wasio na sifa stahiki na kuwahi kwa mishahara
2. Uwajibikaji wa watumishi wa Umma kwa jamii umeongezeka. Hofu ya watendaji imesaidia watu kutulia maofisini. Zamani ilikuwa afisa anaenda kunywa chai saa 4 anarudi kufunga ofc
3. Ameweka wazi kutoongeza mishahara ili kujenga nchi, ikiwemo kufuta Safari za nje ambazo hazikuwa na umuhimu

Lkn pia sio lazima wote tuwe na mitazamo Sana. Matusi Ni kielelezo Cha kukosa hoja
Nilidhani mishahara hewa itaboresha ya waliopo lakini wapi. Endelea kusifia tu ili upate kacheo upunguze shida kwa muda.
 
Iko mitazamo mingi katika hili, Lkn anastahili pongezi

1. Amepunguza Sana kuvuja kwa pesa ya Umma kupitia mishahara hewa, wasio na sifa stahiki na kuwahi kwa mishahara
2. Uwajibikaji wa watumishi wa Umma kwa jamii umeongezeka. Hofu ya watendaji imesaidia watu kutulia maofisini. Zamani ilikuwa afisa anaenda kunywa chai saa 4 anarudi kufunga ofc
3. Ameweka wazi kutoongeza mishahara ili kujenga nchi, ikiwemo kufuta Safari za nje ambazo hazikuwa na umuhimu

Lkn pia sio lazima wote tuwe na mitazamo Sana. Matusi Ni kielelezo Cha kukosa hoja
Kwanini ameipeleka Atcl ofisini kwake ili isikaguliwe hesabu zake na CAG?
 
Walimu wenzake huko wanakufa njaa.Ana dhambi huyo mtu wenu
 
Back
Top Bottom