Pongezi Rais Magufuli na Awamu Yake ya Tano, Wafanya Maajabu Vita Dhidi ya Umasikini, Tanzania Yaongoza Dunia Kupunguza Umasikini Uliotopea-WB.

Miezi kadhaa nilipita mkoa fulani daaah.....ukiambiwa hali ngumu ni ngumu kweli
 
Mkuu Masiya, katika mashindano ya kuondoa umasikini uliotopea iliyochapishwa mwaka huu, inaonyesha Tanzania ndio inaongoza duniani!. Hata kama data ni za zamani, data hizo ndizo ime Tanzania uongozi mwa mwaka huu!.
P.
 
Anayekerwa na ukabila aanzie kulaani hapa
 
Viva awamu ya tano, Viva JPM.
Uchumi unakua kwa kasi zaidi ya 7% na umasikini umepungua sana sana Tanzania na hali ikiendelea hivi soon Tanzania itakuwa zaidi ya dubai..
 
Kwahiyo ikitolewa ripoti ya Tanganyika na harakati za kusaka Uhuru (mwaka huu) utampongeza Magufuli?!?

Alichokufanya Ndugayi Job Mungu anamwona.
 
Kwahiyo ikitolewa ripoti ya Tanganyika na harakati za kusaka Uhuru (mwaka huu) utampongeza Magufuli?!?
Alichokufanya Ndugayi Job Mungu anamwona.
Mkuu Roboti la Matope, ikitokea ripoti ya nchi zinazoongozwa vizuri toka zipate uhuru na hazijawahi kupinduliwa, Tanzania itakuwepo na pongezi zitakwenda kwa Magufuli.
By the way nimemkumbuka Katope, na kuna dalili ya mvua, usije kusema sikukutahadharisha,
P
 
Paskali Njaaa, hapa sio Facebook!!! Hii ni JF!

Hii mifano yako ya kitoto usituletee hapa. Yaani mwisho wa data collection ni 2011 then report itolewe leo bado uendelee kuwa kinara?!? Je kama kuna watoto wamekufa?!? Au kuna memba kama Aspron kapata mapacha mfururizo na kakuzidi watoto?!? Anyway mfono wako ni irrelevant.

Pole, usikaze shingo, litavunjika!!! Tafuta msaada
 
Ripoti ni ya World Bank na sio ripoti ya Wasukuma fulani kuonyeshea uchapakazi wa Msukuma!.
Usiniulize mimi kuhusu contents za ripoti hiyo na wametumia vigezo gani, ndio maana ripoti yenyewe yote nimekuwekea, kama una maswali yoyote, waulize wao sio mimi, mimi kazi yangu ni just to share with you kuwa Tanzania tunaongoza dunia kwa kupunguza umasikini!.
P
 
Magufuli alishiriki vyema katika kujenga miundombinu iliyofungua mawasiliano baina ya mikoa....upende usipende Magufuli na CCM ni moto wa kuotea mbali
 
Unatukana watu hata usiowajua kisa kaandika tu usivyopenda wewe? Unahitaji therapy wewe, ukiendelea hivyo bila ya therapy utakuja kujiuwa tu siku.
Mayalla ni verified user!! Pia ni mwandishi mtangazaji so ni maarufu!!! Tunamjua. Mlichomfanya msukuma wa watu, Mungu anawaona
 
Mayalla ni verified user!! Pia ni mwandishi mtangazaji so ni maarufu!!! Tunamjua. Mlichomfanya msukuma wa watu, Mungu anawaona


Lkn unamjua kwa kiasi hicho hadi uweze kumtukana hivyo kisa kuandika tu usichopendezwa nacho?
 
Hakuna anayepinga Tanzania kuongoza, tunapinga unaavyotaka kuaminisha Umma lwamba JPM ndo kafanya Tanzania iongoze wakati data zilikua collected 2000 to 2011.


Pongezi zielekeze kwa wahusika.


NB; Kuna jamaa anaandaa report ya kuzaama kwa MV Bukoba na MV Spice obvious utatoa lawama zako kwa Magufuli maana report itatolewa mwaka kesho mwanzoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…