Pongezi Rais Magufuli na Awamu Yake ya Tano, Wafanya Maajabu Vita Dhidi ya Umasikini, Tanzania Yaongoza Dunia Kupunguza Umasikini Uliotopea-WB.

Pascal Mayala ukuje hapa kuna maswali hayana majibu kuhusu hizo takwimu zako zinaonyesha mwaka 2000 - 2011.
Sijibu kuhusu takwimu ni za lini, Report ni ya Dec. 2019.

Mwaka huu tukitoa Ripoti ya Ukuaji wa uchumi barani Africa in 10 years period in terms of the highest scores, Tanzania ni nchi ya 4 next to Ethiopia, Ghana na Ivory Coast with growth of 7.9%. Pongezi zitakwenda kwa Magufuli, wakati ameingia amekuta ukuaji ni 7.2% sasa tuko 6.4% na hajawahi hata kuvuka 7%. Hiyo 7.9% ni ya JK, lakini ripoti ilitoka mwaka huu, credits ni kwa Magufuli, tarehe ya kutoka kwa ripoti na sio mwaka wa hiyo growth ya 7.9%.
P
 
Ripoti ni ya Dec, 2019. Hivi wajameni mmesoma ripoti?. Mbona watu ni wavivu sana kusoma ripoti na link nimewawekea?!.

Validity ya Report is the date of release and not the date of the data collection!.
Inazungumziwa Tanzania ya leo 2019.

Ikitoka ripoti ya Tanzania kuongoza kwa vivutio vya utalii 2019, na vivutio vikuu kwa Tanzania ni Mlima Kilimanjaro, Serengeti na Ngorongoro Crater, pongezi zitakwenda kwa nani?.

Pongezi zitakwenda kwa Magufuli japo toka ameingia amaukuta Mlima Kilimanjaro, Serengeti na Ngorongoro.

P
 
Kwa nn usifie utawala huu na wakati data ni za tawala zilizopita?
Tusubiri data 2015 mpaka 2025 ndio ulete uhalisia mbona Unataka kufanya vitu Kama hujasoma vile ,
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Masiya, kwanza nikubali sio tuu makosa hata reports interpretation tuu, bali hata
Understanding na vigezo ni tatizo, lakini tunapokuja kwenye credits, Tanzania inahesabiwa kama current entity. Kama period of data collection ni 2000-2015 na report ndio imetoka leo, anayepongezwa ni yule aliyepo ripoti ilipotoka.

Hata ndani ya ndoa zetu nyingi, anayemjua baba halisi wa mtoto ni mama, lakini mtoto yoyote akizaliwa kwa mkeo ni wako regardless ni nani haswa aliyeipachika. Jambo lolote jema kuhusu Tanzania likitangazwa kipindi cha Magufuli, credits ni kwa Magufuli, ila hata likitokea jambo lolote baya, pia shutuma ni kwa Magufuli mfano Tetemeko la Ardhi la Bukoba, tulimlaumu Magufuli as if yeye ndie alisababisha hilo tetemeko.
P
 
Kwa nn usifie utawala huu na wakati data ni za tawala zilizopita?
Tusubiri data 2015 mpaka 2025 ndio ulete uhalisia mbona Unataka kufanya vitu Kama hujasoma vile ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Magufuli anapopewaga Salaam za pongezi kwa Uhuru na Jamhuri, huwa anapongezewa nini?. Kwani Uhuru kaleta yeye?. Hapa hatuzungumzii data collected lini, inazungumziwa ni ripoti ya mwaka huu.
Pongezi ni kwa Magufuli na awamu yake.
P
 

Kaka P..
Hizi data za 2000-2011 kipindi mostly cha JK.. Nachoona hapa sio unaisema kinyume nyume serikali ya sasa, yaani kuwa kipindi cha 2000-2011 umaskini ulipungua sana, ila sasa hatujui kitu au huenda hali ni mbaya.. Sio unaisema hii serikali ya JPM kweli kinyume cha maoni yako hayo? Naona kama kuna kitu unataka hii serikali ione ya miaka 2000-2011 kuhusu umaskini ulivyopungua ila sio sasa..
 
Rais Magufuli anapopewaga Salaam za pongezi kwa Uhuru na Jamhuri, huwa anapongezewa nini?. Kwani Uhuru kaleta yeye?. Hapa hatuzungumzii data collected lini, inazungumziwa ni ripoti ya mwaka huu.
Pongezi ni kwa Magufuli na awamu yake.
P
Wewe ni Fala tuu... sura mbaya kama kichwa cha treni
 
Mkuu Mliberali, nimekusikia, nitabadilisha
Ila nisaidie nitumie styles gani ili makala zangu ziwe na mvuto, niandike kama nani?, Mkuu Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Maalim Mohammed Said, St. Ivuga, Mag3, Mliberali au niandike kama nani ziwe na mvuto?
P
Mkuu hiyo makala yako naweza iandika kwa mistari 2 na ikaeleweka kwa kingereza au kiswahili
 
Ndugu, tafadhali sana ukaye ukijua kuwa wasukuma ni kabila kubwa sana na linaheshimika, usiwachanganye wasukuma wengi walio wazuri na Binadamu wenye utu, wasio wakablia na genge dogo ulilojiunga nalo.

Nowdays Every single day you keep destroying your credibility by trying to be what you were not ( Boot Licker )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri tunalingalia hili jambo kwa nia tofauti. Huwezi ukampa credits JPM kwa kitu ambacho hakufanya yeye, likewise huwezi kumlaumu kwa kitu ambacho hakufanya yeye. Kwa miaka yote ambayo nimeona maandiko kama haya (ndani na nje ya vyuo) kwa kweli sijaona interpretation na attribution kama yako. Credits zinatakiwa kwenda kwa yule aliyefanya, kiungwana ungesema namuomba raisi wetu afikishe kongole zetu kwa........ Mfano wako wa kitanda hakizai haramu na Tetemeko la Bukoba siyo sahihi. JPM alilaumiwa sio kwa sababu tetemeko lilitokea wakati wake bali kwa sababu (right or wrong) watu walifikiri response yake haikuwa sawa.
 
Na wewe haujasoma chochote ,ulipoona ni pongezi tu ukajiachia.Mwaka 2000 mpaka 2011 alikuwa anaongoza Mh Magufuli !?.
Mkuu kwani Mimi umeona Kuna mahala nimetaja jina la Magufuli Wala mwaka?

Kama ungetuliza akili nakuelewa nilichoandika usingesema hivo. Maneno muhimu yaliyokuwa yamebeba ujumbe wangu Ni;

*Data za kupikwa*; Ni kiwa na maana vijana kutoka ufipani lazima tu watakuja kusema Ni outdated info.. na huo ndo ukweli ambao mkuu Paschal Amauficha.

*Watakavyokushambulia* ; Nikiwa na maana kuwa kwa namna yeyote Ile Paschal Wangemushambilia tu kwa kuleta data za miaka iliyopita. Na ndo kimetokea.

*Baada ya masaa5 narudi Kupitia jumbe*; na ndo nilichokifanya.

So by looking it seems like I was together with mkuu "P" but by Evaluating the message it seems there was hidden criticising massage inside it.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…