Mie amenifurahisha sana! Kawakusanya na kuwakoroga, kisha kawaacha hawaelewi wafurahi, wasikie aibu au wamshambulie Pasco!
Hapo ni huyo mwenye miwani mieusi tuu ndiye hamja mpa kashkash kwa vile hamjui huko wapi, wakati yuko palepale magogoni
Mkuu Masiya, katika bandiko hili, tunsbishania vitu viwili tofauti.Nafikiri tunalingalia hili jambo kwa nia tofauti. Huwezi ukampa credits JPM kwa kitu ambacho hakufanya yeye, likewise huwezi kumlaumu kwa kitu ambacho hakufanya yeye. Kwa miaka yote ambayo nimeona maandiko kama haya (ndani na nje ya vyuo) kwa kweli sijaona interpretation na attribution kama yako. Credits zinatakiwa kwenda kwa yule aliyefanya, kiungwana ungesema namuomba raisi wetu afikishe kongole zetu kwa........ Mfano wako wa kitanda hakizai haramu na Tetemeko la Bukoba siyo sahihi. JPM alilaumiwa sio kwa sababu tetemeko lilitokea wakati wake bali kwa sababu (right or wrong) watu walifikiri response yake haikuwa sawa.
Hauhitaji kuappologize kwa yoyote yule linapokuja suala la Raisi Magufuli na mema ya nchi yetu,
Mkuu P. naona kwenye hili tukubaliane kutoku-kubaliana.Vivyo hivyo japo utafiti umenywa kwa kipindi kilichopita, Tanzania ndio imeongoza kwa mwaka huu wa ripoti ilipotoka na sio mwaka ule wa utafiti.
Tujifunze kutofautisha Tafiti na Ripoti.
Sema ww jamaa unajuhudi sana .sijui kwanini hupatagi teuzi .au nyota huna.Wanabodi,
Naendelea kusisitiza kwenye mazuri, tupongeze, kwenye mabaya tukosoe,kwenye maovu tulaani, kwenye mapungufu tushauri na kutoa mapendekezo.
Leo nilikuwa napitia ripoti ya Benki ya Dunia(WB) kuhusu hatua ambazo zimechukuliwa na nchi mbalimbali kupunguza umasikini uliotopea, I was surprised kukuta Tanzania ndio nchi ya kwanza inayoongoza duniani kwa kupiga hatua kubwa zaidi kuondoa umasikini uliotopea, hivyo japo data ni miaka iliyopita, lakini ripoti ni mwaka huu!, hapa tunajadili ripoti ya 2019 na sio data ni za lini, hivyo Rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano, wanastahili pongezi za dhati kwa kufanya maajabu makubwa kabisa katika vita dhidi ya umasikini uliotopea kwa kupiga hatua kubwa zaidi kupunguza idadi ya familia zilizokuwa zinaishi chini ya kipato cha dola moja kwa siku.
Ripoti hiyo ni hii
View attachment 1304778Year in Review: 2019 in 14 Charts
These charts highlight some remarkable achievements and the serious challenges that remain as we head into 2020.t.newsletterext.worldbank.org
Hata Hivyo, Ripoti ambayo ni ya mwaka huu 2019 imeonyesha data za Tanzania kuongoza kwa kupungunguza umasikini uliotopea, zilikusanywa katika kipindi cha miaka 10 tangu 2000 hadi 2011 ila haikusema in details, Tanzania imefanya nini katika kupunguza umasikini huo, naomba tuisome ripoti hii kwa kanuni ya "the end justify the means, kwasababu kwa sasa Tanzania ni Tanzania ya Magufuli, na Tanzania ndio inayoongoza kwa kupunguza umasikini, regardless ni kipindi cha nani umasikini huo ulipungua, as long as ripoti ndio imetoka sasa na Tanzania tunaongoza, then ni haki na halali kabisa pongezi hizi ziende kwa Magufuli na awamu yake ya tano, ila pia kwa vile najua kuna kazi nzuri inayofanywa na TASAF, kwenye ule mpango wa kunusuru kaya masikini, huku MKURABITA, ukirasimisha rasilimali na biashara za wanyonge, na hatua nyingine mbalimbali zinazochukuliwa na serikali ya awamu ya tano katika kupunguza umasikini na kuinua kipato.
Wajameni, taarifa hii ni kwa mujibu wa datas za kuaminini za WB, maana humu jf kumezuka mtindo wa kubeza tuu kila kizuri kinachofanywa na awamu hii. Kwa vile mimi sio mchumi, hata ule ukuaji wa uchumi wa taifa wa zaidi ya asilimia 7% kwa mwaka, ulikuwa unanitatiza kwa sababu nikiangalia hali halisi huku mitaani mambo yanakuwa ni magumu sana, na kujiuliza huo ukuaji wa uchumi wa zaidi asilimia 7% unamfaidia nani, ni mpaka mchumi wetu Number 1 aliponifafanulia ndipo nikaelewa.
Hivyo hata bandiko hili, kama familia yako sii miongoni mwa kaya zinazoishi kwa kipato cha chini ya dola 1 kwa siku, unaweza usielewe kuwa Rais Magufuli na awamu yake ya tano, wanafanya mambo makubwa mazuri ya kuleta maendeleo kwa taifa letu.
Hongera rana rais Magufuli na kikosi kazi chako cha awamu ya 5, inawezekana kabisa sisi Watanzania, tusione, lakini kama World Bank wameona, dunia imeona, wasioona sasa wataonyeshwa.
Na kwa vile mwaka ujao ni mwaka wa uchaguzi mkuu, kuna wanasiasa ambao watapanda jukwaani na kujinadi kuwamkituchagua tutafanya hiki na hiki na hiki, lakini kuna wengine, watapanda jukwaani sio tuu kusema, bali kuonyesha walichofanya, hivyo naomba kuwaandaa watu kisaikolojia, usije kufika muda huo, watu ambao hawana chochote cha kuonyesha kuwa wamefanya, watakatakiwa kupanda kilingeni na watu wenye good track records za waliyoyafanya, kisha wasio na kitu wakaamua kuweka tena mpira kwapani, nashauri tuu, lets save time, money and resources, kama Watanzania tunachotaka ni maendeleo, na maendeleo hayo yanapatikana, yanaonekanika, then kwa nini tusiwaache tuu tuendelee tuu bila kufanya ....
naomba nisimalizie watu wasije kuniparura bure humu.
Maendeleo haya mazuri ya vita dhidi ya umasikini pia yamezungumzwa kwenye ripoti hii ya UNDP
Ripoti: Kiwango cha umasikini kinapungua kwa kasi
Dodoma. Poverty in Tanzania has decreased from 64 per cent in 2015 to 47.4 per cent in 2017, according to the 2017 Tanzania Human Development (THDR). The government in collaboration with the Economic and Social Research Foundation and UNDP yesterday unveiled the HDR in a ceremony officiated by...www.jamiiforums.com
Nawatakia maandalizi mema ya kuingia 2020!.
Paskali
Hili Lijamaa linazeeka vibaya.Huyu zezeta mleta uzi ni kila.zA. number 1 Tanzania
Unazeeka vibaya ww .Rais Magufuli anapopewaga Salaam za pongezi kwa Uhuru na Jamhuri, huwa anapongezewa nini?. Kwani Uhuru kaleta yeye?. Hapa hatuzungumzii data collected lini, inazungumziwa ni ripoti ya mwaka huu.
Pongezi ni kwa Magufuli na awamu yake.
P
Jamaa hakati tamaa .Hii miezi kumi iliyobaki hata akiteuliwa atafaidi nini?
Wanabodi,
Naendelea kusisitiza kwenye mazuri, tupongeze, kwenye mabaya tukosoe,kwenye maovu tulaani, kwenye mapungufu tushauri na kutoa mapendekezo.
Leo nilikuwa napitia ripoti ya Benki ya Dunia(WB) kuhusu hatua ambazo zimechukuliwa na nchi mbalimbali kupunguza umasikini uliotopea, I was surprised kukuta Tanzania ndio nchi ya kwanza inayoongoza duniani kwa kupiga hatua kubwa zaidi kuondoa umasikini uliotopea, hivyo japo data ni miaka iliyopita, lakini ripoti ni mwaka huu!, hapa tunajadili ripoti ya 2019 na sio data ni za lini, hivyo Rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano, wanastahili pongezi za dhati kwa kufanya maajabu makubwa kabisa katika vita dhidi ya umasikini uliotopea kwa kupiga hatua kubwa zaidi kupunguza idadi ya familia zilizokuwa zinaishi chini ya kipato cha dola moja kwa siku.
Ripoti hiyo ni hii
View attachment 1304778Year in Review: 2019 in 14 Charts
These charts highlight some remarkable achievements and the serious challenges that remain as we head into 2020.t.newsletterext.worldbank.org
Hata Hivyo, Ripoti ambayo ni ya mwaka huu 2019 imeonyesha data za Tanzania kuongoza kwa kupungunguza umasikini uliotopea, zilikusanywa katika kipindi cha miaka 10 tangu 2000 hadi 2011 ila haikusema in details, Tanzania imefanya nini katika kupunguza umasikini huo, naomba tuisome ripoti hii kwa kanuni ya "the end justify the means, kwasababu kwa sasa Tanzania ni Tanzania ya Magufuli, na Tanzania ndio inayoongoza kwa kupunguza umasikini, regardless ni kipindi cha nani umasikini huo ulipungua, as long as ripoti ndio imetoka sasa na Tanzania tunaongoza, then ni haki na halali kabisa pongezi hizi ziende kwa Magufuli na awamu yake ya tano, ila pia kwa vile najua kuna kazi nzuri inayofanywa na TASAF, kwenye ule mpango wa kunusuru kaya masikini, huku MKURABITA, ukirasimisha rasilimali na biashara za wanyonge, na hatua nyingine mbalimbali zinazochukuliwa na serikali ya awamu ya tano katika kupunguza umasikini na kuinua kipato.
Wajameni, taarifa hii ni kwa mujibu wa datas za kuaminini za WB, maana humu jf kumezuka mtindo wa kubeza tuu kila kizuri kinachofanywa na awamu hii. Kwa vile mimi sio mchumi, hata ule ukuaji wa uchumi wa taifa wa zaidi ya asilimia 7% kwa mwaka, ulikuwa unanitatiza kwa sababu nikiangalia hali halisi huku mitaani mambo yanakuwa ni magumu sana, na kujiuliza huo ukuaji wa uchumi wa zaidi asilimia 7% unamfaidia nani, ni mpaka mchumi wetu Number 1 aliponifafanulia ndipo nikaelewa.
Hivyo hata bandiko hili, kama familia yako sii miongoni mwa kaya zinazoishi kwa kipato cha chini ya dola 1 kwa siku, unaweza usielewe kuwa Rais Magufuli na awamu yake ya tano, wanafanya mambo makubwa mazuri ya kuleta maendeleo kwa taifa letu.
Hongera rana rais Magufuli na kikosi kazi chako cha awamu ya 5, inawezekana kabisa sisi Watanzania, tusione, lakini kama World Bank wameona, dunia imeona, wasioona sasa wataonyeshwa.
Na kwa vile mwaka ujao ni mwaka wa uchaguzi mkuu, kuna wanasiasa ambao watapanda jukwaani na kujinadi kuwamkituchagua tutafanya hiki na hiki na hiki, lakini kuna wengine, watapanda jukwaani sio tuu kusema, bali kuonyesha walichofanya, hivyo naomba kuwaandaa watu kisaikolojia, usije kufika muda huo, watu ambao hawana chochote cha kuonyesha kuwa wamefanya, watakatakiwa kupanda kilingeni na watu wenye good track records za waliyoyafanya, kisha wasio na kitu wakaamua kuweka tena mpira kwapani, nashauri tuu, lets save time, money and resources, kama Watanzania tunachotaka ni maendeleo, na maendeleo hayo yanapatikana, yanaonekanika, then kwa nini tusiwaache tuu tuendelee tuu bila kufanya ....
naomba nisimalizie watu wasije kuniparura bure humu.
Maendeleo haya mazuri ya vita dhidi ya umasikini pia yamezungumzwa kwenye ripoti hii ya UNDP
Ripoti: Kiwango cha umasikini kinapungua kwa kasi
Dodoma. Poverty in Tanzania has decreased from 64 per cent in 2015 to 47.4 per cent in 2017, according to the 2017 Tanzania Human Development (THDR). The government in collaboration with the Economic and Social Research Foundation and UNDP yesterday unveiled the HDR in a ceremony officiated by...www.jamiiforums.com
Nawatakia maandalizi mema ya kuingia 2020!.
Paskali
Validity ya ripoti ni date of publication na sio data zilikuwa collected lini??!!...kweli???!...unachoweza kuipongeza serikali (kama kweli kipo cha kupongeza) ni kwa kuwezesha ripoti kutolewa. Lakini hata hivyo sio wao walioitoa, kwahiyo kwa kifupi hapo hakuna cha kupongeza.Watanzania tujifunze kusoma ni ripoti ya lini!. Ripoti hii ni Ripoti ya mwaka 2019 regardless data zilikuwa collected lini, validity ya ripoti yoyote ni the date of publication of the report na sio dates of data collection, hivyo as of now, Tanzania ndio inaongoza kwa kupunguza umasikini uliotopea kwa mwaka huu 2019!.
P
Ingawa mfano wako hauendani lakini tuchukue tu huo huo. Hao watoto ni wako na ni kweli utashinda lakini ukweli ni kwamba tokea wamezaliwa wewe ndo baba yao, yaani wewe ndo uliwazaa. Tofauti na hiyo ripoti ni kwamba data zilikusanywa kipindi cha mtu mwingine na zimetolewa kipindi kingine. Mfano wangekusanya data kipindi kile ukakutwa na watoto kumi halafu pengine ukafariki watoto hao wakaishi na mjomba. Je, wakitoa hiyo takwimu watasema mjomba ana watoto kumi au watasema wewe mwaka fulani ulikuwa na watoto kumi??!Kiukweli kunahitajika elimu kwa Watanzania kusoma ripoti. Mwaka 2000-2011 was the data collection period, unaweza kukuta kwa data hizo, kwa mwaka huo, wala Tanzania haikuongoza. Date of publication ndio hii ya Dec, 2019. Hii maana yake Tanzania ndio inayoongoza sasa kwa ripoti ya mwaka huu.
Mimi nina watoto 10!. Tukifanya research ya members wa jf wenye watoto wengi kwa mwaka huu wa 2019, naweza kuongoza. Ikichapishwa Ripoti ya "Wana JF Wenye Watoto Wengi 2019", jina langu likaongoza. Ukiangalia niliwapa lini, huwezi kuja na hoja kuwa tangu 2015 tayari nilikuwa na watoto 10, hivyo hiyo rekodi ni 2015!. Ripoti ikitoka mwaka huu, mimi nikaongoza kuwa na watoto wengi, haijalishi walizaliwa lini, bingwa wenu nitakuwa ni mimi, unless aje mwenye watoto 11!.
Sasa katika ripoti ya mwaka huu ya WB kuhusu kiwango cha kupungua umasikini duniani, Tanzania ndio tumeongoza sio kwa nchi za East Africa, Sio kwa nchi za Bara la Africa, bali tumeongoza kwa dunia nzima!. Haijalisi data zilikuwa collected lini, bali ripoti ndio imechapishwa sasa na ni ripoti ya mwaka huu!.
P
Wewe pimbi
Naunga mkono hoja, tunaipongeza serikali ya awamu ya tano iliyo chini ya Rais Magufuli kwa kupunguza umaskini ktk kipindi cha kuanzia mwaka 2000 hadi 2011.Rais Magufuli anapopewaga Salaam za pongezi kwa Uhuru na Jamhuri, huwa anapongezewa nini?. Kwani Uhuru kaleta yeye?. Hapa hatuzungumzii data collected lini, inazungumziwa ni ripoti ya mwaka huu.
Pongezi ni kwa Magufuli na awamu yake.
P