Pongezi TLS Kumpongeza Rais Samia kwa Hatua Alizochukua Ngorongoro, TLS Imeonyesha Professionalism na Sio Unaharakati! Big Up Rais wa TLS

Pongezi TLS Kumpongeza Rais Samia kwa Hatua Alizochukua Ngorongoro, TLS Imeonyesha Professionalism na Sio Unaharakati! Big Up Rais wa TLS

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Nikiwa member wa TLS, nimefarijika na taarifa hii ya TLS.

Tunaipongeza Serikali kwa kuchukua hatua za awali kwa kutuma mawaziri waandamizi na kuzungumza na wananchi pamoja na tamko lake kupitia maelezo ya Mawaziri husika la kurejeshwa kwa huduma za kijamii zilizositishwa katika eneo la Ngorongoro na tamko lake la kuridhia kusitishwa kwa tangazo la kufuta vijiji na vitongoji katika eneo la Tarafa ya Ngorongoro na kutangazwa kuanza zoezi la uboreshaji kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Aidha tunapongeza tamko la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan la kukutana na wawakilishi halali wanaotokana na mapendekezo ya wananchi wa jamii ya Kimasai wa Ngorongoro.

Soma Pia:

TAARIFA ya TLS KWA UMMA.jpg

1724770089192.png

Nimeipongeza taarifa hii kwasababu baada ya Mwabukusi kuchaguliwa rais wa TLS,
1. Kwanza nilimpongeza na kumshauri kitu Hakuna Ubishi Mwabukusi ni Mwanaharakati, Je TLS Yake Iwe ya Kiharakati, Au Asilete Harakati Zake kwenye TLS Yetu, Ibaki Kuwa Profesheno Body?
1722750065841.png

2. Pili nilimshika sikio rais wa r ndogo kwa kumweleza Rais wa R kubwa atafanya kazi na TLS ya aina gani!. Tujikumbushe Kauli hii ya Rais Samia Atafanya Kazi na TLS ya Aina Gani? Hizi ni Salaam kwa Mwabu,. Swali ni is He A Bow Down Type or a Stand Firm?.
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=Fxs79jIGmTeZy8cb

Hivyo taarifa hii ya TLS ni kama inatembelea mumo humo kwenye reli!.

Pongezi rais Mwabukusi
Pongezi TLS.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
 
We Pasco hukutakiwa kabisa kuwa Wakili, you fit better being mwenezi wa kachama kadogo kasiasa.
No wonder uli supp miaka kadhaa.
Ni kawaida kwa jiwe waliolikataa waashi kuja kufanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!.

Haya mambo ya ku supp mbona ni kuaibishana?, niliisha fafanua hili jambo mara kibao!, na kwa taarifa yako kwani unaijua LL.B yangu?, vitu vingine achaneni navyo tusije tukasema humu tukaonekana tuna braag!.
P
 
Wanabodi,

Nikiwa member wa TLS, nimefarijika na taarifa hii ya TLS.

Tunaipongeza Serikali kwa kuchukua hatua za awali kwa kutuma mawaziri waandamizi na kuzungumza na wananchi pamoja na tamko lake kupitia maelezo ya Mawaziri husika la kurejeshwa kwa huduma za kijamii zilizositishwa katika eneo la Ngorongoro na tamko lake la kuridhia kusitishwa kwa tangazo la kufuta vijiji na vitongoji katika eneo la Tarafa ya Ngorongoro na kutangazwa kuanza zoezi la uboreshaji kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Aidha tunapongeza tamko la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan la kukutana na wawakilishi halali wanaotokana na mapendekezo ya wananchi wa jamii ya Kimasai wa Ngorongoro.

Soma Pia:


Nimeipongeza taarifa hii kwasababu baada ya Mwabukusi kuchaguliwa rais wa TLS,
1. Kwanza nilimpongeza na kumshauri kitu Hakuna Ubishi Mwabukusi ni Mwanaharakati, Je TLS Yake Iwe ya Kiharakati, Au Asilete Harakati Zake kwenye TLS Yetu, Ibaki Kuwa Profesheno Body?
View attachment 3080746
2. Pili nilimshika sikio rais wa r ndogo kwa kumweleza Rais wa R kubwa atafanya kazi na TLS ya aina gani!. Tujikumbushe Kauli hii ya Rais Samia Atafanya Kazi na TLS ya Aina Gani? Hizi ni Salaam kwa Mwabu,. Swali ni is He A Bow Down Type or a Stand Firm?.
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=Fxs79jIGmTeZy8cb

Hivyo taarifa hii ya TLS ni kama inatembelea mumo humo kwenye reli!.

Pongezi rais Mwabukusi
Pongezi TLS.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali

Hata siku moja hutawaona wakikutana kwa ajili ya kuhoji meli kubwa Afrika inayojengwa ziwa victoria itaanza lini kufanya kazi,

Chadema wao ni siasa tu kila kukicha
 
Back
Top Bottom