johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndugai amepunguza matumizi yake anapokwenda India? Kwani ana ugonjwa gani usioweza kutibiwa na mabingwa wetu hapa nchini? Au huko kwenda India ndio mradi wake!Pongezi zimwendee Spika Ndugai na Katibu wa bunge
Hahahaaaa kazi kweli kweli!Ni sawa sawa na kununua bulb za energy server wakati ndani una jiko la umeme
Alienda lini?Ndugai amepunguza matumizi yake anapokwenda India? Kwani ana ugonjwa gani usioweza kutibiwa na mabingwa wetu hapa nchini?
Weka pichaNi jambo jema kuwashuhudia wabunge wa kamati ya maendeleo ya jamii wakiwasili jijini Mbeya kikazi kwa kutumia basi la Shabiby.
Mmeonesha mfano mzuri wa kubana matumizi tofauti na mabunge yaliyopita ambayo yalitumia zaidi ndege na magari madogo ya gharama.
Pongezi zimwendee Spika Ndugai na Katibu wa bunge.
Maendeleo hayana vyama!
Alienda lini?
Bwashee bado uko Mbozi?Weka picha
Kweli tupu...Ni sawa sawa na kununua bulb za energy server wakati ndani una jiko la umeme
Ni jambo jema kuwashuhudia wabunge wa kamati ya maendeleo ya jamii wakiwasili jijini Mbeya kikazi kwa kutumia basi la Shabiby.
Mmeonesha mfano mzuri wa kubana matumizi tofauti na mabunge yaliyopita ambayo yalitumia zaidi ndege na magari madogo ya gharama.
Pongezi zimwendee Spika Ndugai na Katibu wa Bunge.
Maendeleo hayana vyama!
Ni jambo jema kuwashuhudia wabunge wa kamati ya maendeleo ya jamii wakiwasili jijini Mbeya kikazi kwa kutumia basi la Shabiby.
Mmeonesha mfano mzuri wa kubana matumizi tofauti na mabunge yaliyopita ambayo yalitumia zaidi ndege na magari madogo ya gharama.
Pongezi zimwendee Spika Ndugai na Katibu wa Bunge.
Maendeleo hayana vyama!
Hii ni ccm mpya bwashee!Ukiona hivyo ujue hamna hela. Ccm hawana sifa ya kubana matumizi.
"Ongeza sauti kidogo"johnthebaptist uchaguzi wa jumuia za chama utaanza lini. Ninafahamu UVCCM mtoto wa dada atapata mi five again.
Uchaguzi katika ngazi mbalimbali utaanza mwezi March mwakani.johnthebaptist uchaguzi wa jumuia za chama utaanza lini. Ninafahamu UVCCM mtoto wa dada atapata mi five again.