Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Nafikiri mechi ya Yanga dhidi ya Vipers ilikuwa ni moja ya mechi bab kubwa, Vipers walionyesha ni namna gani wako vizuri kiufundi, walikuwa wanacheza objective football, walikuwa very sold kwenye ngome yao baada ya kutangulia kupata bao la mapema, ni moja ya timu ambayo iko vizuri sana kwenye muunganiko kucheza kitimu uwanjani.
Yanga walipotezwa zaidi na goli la mapema liliwafanya wawe na presha kubwa ya kutaka kuonyesha kwamba wanaweza mbele ya mashabiki wao kitu ambacho kiliwafanya waanze kucheza na jukwaa muda mwingine badala ya ku-focus na kile walichoelekezwa na kocha, pia kitendo cha kumsogeza nyuma Bangala na Sure Boy kucheza Kama namba 6 kidogo ilileta shida kwasababu Mwamnyeto akuwa vizuri alikuwa anafanya makosa mengi ya kiufundi, bahati nzuri kocha alimbadilisha kipindi cha pili na kuingia job na timu ikatulia pia baada ya kuingia Bigirimana.
Maingizo yote mapya yaliyocheza mechi iyo yalikuwa bora sana, uyu Bigirimana hauitaji elimu kubwa ya mpira kujua kwamba ni moja ya usajili bora ambao Yanga wameufanya, utulivu wake, pasi zake zenye macho na za hatari, anakaa kwenye nafasi kwa wakati muafaka, kwakweli ni quality prayer, Azizi Ki ameonyesha ni kwanini amekuwa MVP wa ligi ya Ivory Coast, amecheza mechi ya kwanza na klabu yake mpya na mazingira tofauti na wachezaji tofauti lakini ameonyesha ni mchezaji wa aina gani ni fundi hasa vile vile kwa Morrison na Lomarisa, wakipata mechi nyingine 3 au 4 wakazoeana na wenzao uwanjani (combination) yao itakuwa hatari sana.
Kwa nilichokiona kinawasumbua jana ni muunganiko wao bado aujacklick, bado wana-struggle kujua mikimbio ya kila mchezaji uwanjani ikoje, kwamba nikipiga penetration pass pale mayele ataikuta au nikienda upande ule fei toto atakimbia upande huu, ni vitu ambavyo wanaendelea kuvisoma taratibu na baada ya hapo itakuwa balaa tupu kwa timu pinzani, binafsi yangu matokeo sikuyatilia maanani sana nilikuwa naangalia masuala ya kiufundi zaidi hasa hasa maingizo mapya, kwasababu Kama ni matokeo pia yanga walikosa nafasi za kuweka mpira kambani.
Makambo alipata nafasi akashindwa kuzitumia vizuri, cha msingi ni timu imechezaje na maingizo mapya yatafiti vipi kwenye mfumo, nimejiridhisha yanga itakuwa na viungo supa sana na hatari sana wakizoeana ni suala la muda tu kila kitu kitakuwa wazi.
NB: Pasi za bigirimana ni balaa jingine mjini👏👏👏👏
Yanga walipotezwa zaidi na goli la mapema liliwafanya wawe na presha kubwa ya kutaka kuonyesha kwamba wanaweza mbele ya mashabiki wao kitu ambacho kiliwafanya waanze kucheza na jukwaa muda mwingine badala ya ku-focus na kile walichoelekezwa na kocha, pia kitendo cha kumsogeza nyuma Bangala na Sure Boy kucheza Kama namba 6 kidogo ilileta shida kwasababu Mwamnyeto akuwa vizuri alikuwa anafanya makosa mengi ya kiufundi, bahati nzuri kocha alimbadilisha kipindi cha pili na kuingia job na timu ikatulia pia baada ya kuingia Bigirimana.
Maingizo yote mapya yaliyocheza mechi iyo yalikuwa bora sana, uyu Bigirimana hauitaji elimu kubwa ya mpira kujua kwamba ni moja ya usajili bora ambao Yanga wameufanya, utulivu wake, pasi zake zenye macho na za hatari, anakaa kwenye nafasi kwa wakati muafaka, kwakweli ni quality prayer, Azizi Ki ameonyesha ni kwanini amekuwa MVP wa ligi ya Ivory Coast, amecheza mechi ya kwanza na klabu yake mpya na mazingira tofauti na wachezaji tofauti lakini ameonyesha ni mchezaji wa aina gani ni fundi hasa vile vile kwa Morrison na Lomarisa, wakipata mechi nyingine 3 au 4 wakazoeana na wenzao uwanjani (combination) yao itakuwa hatari sana.
Kwa nilichokiona kinawasumbua jana ni muunganiko wao bado aujacklick, bado wana-struggle kujua mikimbio ya kila mchezaji uwanjani ikoje, kwamba nikipiga penetration pass pale mayele ataikuta au nikienda upande ule fei toto atakimbia upande huu, ni vitu ambavyo wanaendelea kuvisoma taratibu na baada ya hapo itakuwa balaa tupu kwa timu pinzani, binafsi yangu matokeo sikuyatilia maanani sana nilikuwa naangalia masuala ya kiufundi zaidi hasa hasa maingizo mapya, kwasababu Kama ni matokeo pia yanga walikosa nafasi za kuweka mpira kambani.
Makambo alipata nafasi akashindwa kuzitumia vizuri, cha msingi ni timu imechezaje na maingizo mapya yatafiti vipi kwenye mfumo, nimejiridhisha yanga itakuwa na viungo supa sana na hatari sana wakizoeana ni suala la muda tu kila kitu kitakuwa wazi.
NB: Pasi za bigirimana ni balaa jingine mjini👏👏👏👏