kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Wawakilishi Wa Tanzania katika Michuano Mikubwa Kabisa kuliko Yote inayoandaliwa na CAF ya Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga na SIMBA zimeweza Kufanya vyema na Kuheshimisha Taifa.
Simba Wakiwa kwenye Kiwanja Cha Levy Mwanawasa Mjini Ndola imeweza Kuituliza Timu ya Power Dynamo ya Zambia Katika Kiwanja Chao Cha 'NYUMBANI' na kutoka nayo Sare ya Bao 2 kwa 2.
Nayo Yanga iliyosafiri nchini Rwanda,nchi ambayo inatumiwa kama 'Home ground' na Timu ambayo Kwao asilia Sudan Kuna Machafuko hivyo kuLAZIMIKA kucheza nchi nyingine kama Wakimbizi imeweza Kushinda na kujiweka kwenye mazingira Rafiki ya Kufuzu..!
Ukiwasikiliza Wachambuzi Wengi Wa Soka wanakiri kuwa Timu Ya Yanga iwapo Wangekuwa Makini basi wangeondoka na Ushindi Mnono Zaidi Ya hapo na Wametolea mfano Simba ilivyoweza Kumfunga Horoya 7 bila Msimu ulioisha.
Yote Kwa Yote Pongezi kwa Timu zote... !
Simba Wakiwa kwenye Kiwanja Cha Levy Mwanawasa Mjini Ndola imeweza Kuituliza Timu ya Power Dynamo ya Zambia Katika Kiwanja Chao Cha 'NYUMBANI' na kutoka nayo Sare ya Bao 2 kwa 2.
Nayo Yanga iliyosafiri nchini Rwanda,nchi ambayo inatumiwa kama 'Home ground' na Timu ambayo Kwao asilia Sudan Kuna Machafuko hivyo kuLAZIMIKA kucheza nchi nyingine kama Wakimbizi imeweza Kushinda na kujiweka kwenye mazingira Rafiki ya Kufuzu..!
Ukiwasikiliza Wachambuzi Wengi Wa Soka wanakiri kuwa Timu Ya Yanga iwapo Wangekuwa Makini basi wangeondoka na Ushindi Mnono Zaidi Ya hapo na Wametolea mfano Simba ilivyoweza Kumfunga Horoya 7 bila Msimu ulioisha.
Yote Kwa Yote Pongezi kwa Timu zote... !