Pongezi zangu za dhati zimfikie Steve Mweusi. Hongera sana na Mola akusaidie

Pongezi zangu za dhati zimfikie Steve Mweusi. Hongera sana na Mola akusaidie

Umenifanya nimfatilie nilikua sijauona jamaa anajua sana[emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji1787][emoji1787]comments nyingi za mbele inaelekea wazungu wanamuelewa sana jamaa
 
Huyu ni mfano wa kijana wa kuigwa katika taifa hili la wenye nchi. Ni kijana anayejitutumua katika kutafuta mafanikio, na kamwe si mtu wa kukata tamaa.

Nimeanza kumfuatilia kuanzia 2016, enzi hizo hata jina hana. Videos zake za YouTube zilitizamwa na makumi ya watu lakini hakukata tamaa. Siku baada ya siku alikuwa akija na mbinu tofauti tofauti za kuteka hisia za watu kuanzia kwenye uhusika, uongeaji na uchetuaji. Akaona haitoshi, akaamua kufanya muziki ilihali yeye ni mchekeshaji (comedian)

Kijana kapambana sana. Ni haki yake kula mema ya nchi. Kautafuta umaarufu kwa tabu sana mpaka kufikia hatua hii ya kuliteka bara la Africa (Nigeria), pamoja na jina lake kuzungumziwa nchi za uarabuni na China kutokana na kazi zake kali za (a)Waaah na (b) Kumama Papa

Hatumii nguvu kubwa katika uchekeshaji wake. Hii inaonesha kuwa uchekeshaji ni talanta yake aliyopewa na mama yake

Nihtimishe kwa kusema huyu ndiye The Best Comedian in Tanzania followed by Ndaro. Hao wengine tupa kule.
View attachment 2755177
Hongera sana Steven Moses. Ni haki yako kupata hizo tuzo unazopatiwa
Video Clips tafadhali..
 
Huyo dogo naishi nae jirani maeneo ya yombo vituka . Ni mtu poa sana na ametoka mbali sana.

Huyo ni mfano hai wa kujituma kunalipa.
 
Huyu ni mfano wa kijana wa kuigwa katika taifa hili la wenye nchi. Ni kijana anayejitutumua katika kutafuta mafanikio, na kamwe si mtu wa kukata tamaa.

Nimeanza kumfuatilia kuanzia 2016, enzi hizo hata jina hana. Videos zake za YouTube zilitizamwa na makumi ya watu lakini hakukata tamaa. Siku baada ya siku alikuwa akija na mbinu tofauti tofauti za kuteka hisia za watu kuanzia kwenye uhusika, uongeaji na uchetuaji. Akaona haitoshi, akaamua kufanya muziki ilihali yeye ni mchekeshaji (comedian)

Kijana kapambana sana. Ni haki yake kula mema ya nchi. Kautafuta umaarufu kwa tabu sana mpaka kufikia hatua hii ya kuliteka bara la Africa (Nigeria), pamoja na jina lake kuzungumziwa nchi za uarabuni na China kutokana na kazi zake kali za (a)Waaah na (b) Kumama Papa

Hatumii nguvu kubwa katika uchekeshaji wake. Hii inaonesha kuwa uchekeshaji ni talanta yake aliyopewa na mama yake

Nihtimishe kwa kusema huyu ndiye The Best Comedian in Tanzania followed by Ndaro. Hao wengine tupa kule.
View attachment 2755177
Hongera sana Steven Moses. Ni haki yako kupata hizo tuzo unazopatiwa
Wa wapi huyu? Kama vile niliwahi kumuoba youtube lakini sikuwahi kumaliza kumuangalia, maana sikumuelewa.
Ila nilisoma mahala kuwa huko Nigeria ana trend sana baada ya rais wa nchi hiyo kuu post wimbo wake na kuelezeabkuwa anaupenda na kumkubali.
 
Watu waliomshabikia 20% ndio aina ya watakompenda huyu steve
 
Huyu ni mfano wa kijana wa kuigwa katika taifa hili la wenye nchi. Ni kijana anayejitutumua katika kutafuta mafanikio, na kamwe si mtu wa kukata tamaa.

Nimeanza kumfuatilia kuanzia 2016, enzi hizo hata jina hana. Videos zake za YouTube zilitizamwa na makumi ya watu lakini hakukata tamaa. Siku baada ya siku alikuwa akija na mbinu tofauti tofauti za kuteka hisia za watu kuanzia kwenye uhusika, uongeaji na uchetuaji. Akaona haitoshi, akaamua kufanya muziki ilihali yeye ni mchekeshaji (comedian)

Kijana kapambana sana. Ni haki yake kula mema ya nchi. Kautafuta umaarufu kwa tabu sana mpaka kufikia hatua hii ya kuliteka bara la Africa (Nigeria), pamoja na jina lake kuzungumziwa nchi za uarabuni na China kutokana na kazi zake kali za (a)Waaah na (b) Kumama Papa

Hatumii nguvu kubwa katika uchekeshaji wake. Hii inaonesha kuwa uchekeshaji ni talanta yake aliyopewa na mama yake

Nihtimishe kwa kusema huyu ndiye The Best Comedian in Tanzania followed by Ndaro. Hao wengine tupa kule.
View attachment 2755177
Hongera sana Steven Moses. Ni haki yako kupata hizo tuzo unazopatiwa
Unajipigia promo
 
Huyu anawafaa sanaa kina Donedrake na ajenda Yao kataa ndo...juz kahojiwa kuwa mbona anaishi mwenyew nyumban kubwa?kajibu tu kuwa Huwa anaish na mlinz tu...
 
Huyo dogo naishi nae jirani maeneo ya yombo vituka . Ni mtu poa sana na ametoka mbali sana.

Huyo ni mfano hai wa kujituma kunalipa.
Nilikuwa namuona sana mitaa ya Yombo machimbo karibu na Buza ,mtaani watu walikuwa wanamkubali na kumsapoti tokea kipindi nado hajulikani.
 
Waaaaaaa aaaaaaa...
Any way waaaaaa aaaaaa
Nice kwakweli...ana vocal la nguvu
 
Back
Top Bottom