Poor Ali Kiba, kama hujui kiingereza ni vema kuongea lugha yako tu

Ushauri wangu wa Bure kwa Kiba, Kwanza aanze kujifunza kwa Diamond. Diamond pamoja na kujitetea koote kuwa mademu zake ndio wamemfundiaha Lugha Kiba anatakiwa ajue pia kuwa Diamond alihudhuria British Cousel ilikujinoa. Sasa Kiba aanze kuhudhuria British Counsel ili asije kuaibika na kuliaibisha Taifa tena.
 
Chezea kiingilishi wewe,si uongee tu kama Baraka kwani utadaiwa sh'ngap ....??
 
Mi mbona naona kaongea vzur tu,au kwavle skjui vzur,tena kwa rafuzi ya kizungu
 
Hapo ndo utofauti Wa Diamond na Kiba unapoonekana.Mondi alikuwa anajua anapoelekea akajifunza lugha faster lkn Alikiba hakuwa ameplan kufika huko alikurupushwa tu na "Bring back our Mc" campaign iliyomtoa usingizini wakati mwenyewe alisharizika na soko la ndani
 
Mbona mi naona kapiga freshi tu team dimond acheni majungu
 
Sisi ni wajinga na hatutaki kujifunza hivyo tutaendelea kuwa wajinga kwa muda zaidi.
Kwani hutusikii Wahindi wakiongea Kiingereza ni tofauti na Nigeria, USA ni tofauti na UK, Japan ni tofauti na Arabs nk nk, sasa hizo 'you know, you know, ni za nini, si unaongea kwa rafudhi (accent) yako walau hata kama hujui basi unaweza kueleweka. Namuonaga Koffi Olomide akiongea Kiingereza anaanza kabisa kwa kuomba samahani kuwa 'hakijui' lakini anaongea taratibu na kueleweka vizuri!
Lugha ni kitu kimoja na kuelezea unachotaka kueleza ni kitu kingine lakini hapa huyu bwana hajui lugha na hata anachokieleza hakijui pia. Sorry for him.
 
Mleta thread tofauti na kukosoa una jazba sana na Ali Kina,

Nini shida, imepenya?
 
mkuu lugha gani umetumia hiyo mistari ya mwisho
 
Hahaahaaa "Kuna watu wanahonga PESA ili kiba ashindwe kuongea vzr kiingereza"
You know you say true.you knw they bribe so tht my tongue is heavy thn a brick.
"Why was ths guy by my side smilin widely while i was talkin,was i makin fun"?
lazima ahoji ilo swali akirud
 
Bora hata aliyeanza juzi Harmonize alijiongelea kiswahili siku chache zilizopita huko USA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…