Poor Ali Kiba, kama hujui kiingereza ni vema kuongea lugha yako tu

You know, yeah, you know, you know, you knooooow



I knooooooow, you know[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2]
 
Mbona kaongea vizuri tu, acha wivu wa kitoto.
 
Et wanataka kuwa kama yy ..
Eti legend uyu vp??

KIBAMIA shisha unayotumia kali sana broo tutakupoteza mapema maana!
 
Achen ulimbukeni kwan hiyo ngeli aliyo ongea ina tatzo gani napata wasiwasi na amagdara zenu
 
Ana accent nzuri... Bado tu fluency in speaking na aongeze vocabularies
 
kiba ni wa kigoma so dar ye kaja dar muhamiaji tu tena kazamia alikuja kwenye mkumbo wa msiba tu
 
Jamaaa anaonyesha anajiona sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…