Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Sawa jidai tu,, ngoja wakimpata nitaleta mrejesho na ni dereva boda😂😂
😂😂😂 Hata ungekua ndo wewe...
Unaletewa mapocho pocho wee unakataa...

We kuweza
 
Tatizo zaidi ni msanii kushindwa kujua context ya jamii yake na kuanza na neno mazafaka
😂😂😂😂 Mkuu bado upo na mimi tuu..
Haya naona unataka kufungia nyimbo angu
 
Back
Top Bottom