Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Hizi endorsement unazoona hazijaja zenyewe sheikh nlikuwa nakesha studio
Daaah mkuu kwa profile yako inaelekea wewe mwenyewe ni mtu mzito sana aiseee...

Sasa kama unavojua mi ni underground jaribu kupunguza pesa mkuu utaniua sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Daaah mkuu kwa profile yako inaelekea wewe mwenyewe ni mtu mzito sana aiseee...

Sasa kama unavojua mi ni underground jaribu kupunguza pesa mkuu utaniua sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jitume, punguza nyeto focus na kazi achana na wanawake wasio na tija, punguza pombe ongeza ubunifu. Hela haipungui $4000 ni kama msamaha tu kwa nyie newbie
 
Jitume, punguza nyeto focus na kazi achana na wanawake wasio na tija, punguza pombe ongeza ubunifu. Hela haipungui $4000 ni kama msamaha tu kwa nyie newbie
Khaaaaaa πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wee kuweza mkuu mbona vya kupunguza vingi hivo...

Mkuu taanza na $2000 kwanza nakuomba mkuu najua kutokea wewe kwenye video yangu ni promo kubwa
 
Mpaji analinda brand, unacheck kwanz dp ilivo kali πŸ”₯
 
Khaaaaaa πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wee kuweza mkuu mbona vya kupunguza vingi hivo...

Mkuu taanza na $2000 kwanza nakuomba mkuu najua kutokea wewe kwenye video yangu ni promo kubwa
Siwezi naheshimu kipaji changu naona haupo serious Kwa hiyo Hela we kaimbe na meja kunta au Steve Mweusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…