Poor Gadner

Poor Gadner

Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?

achaga kufuatilia maisha ya watu...hela hunaa umekalia gadner sijui jideli ndo maana umaskini haushi Tanzania....kimbia katafute pesa wewe mwehu!!
 
Ni mke wake na anampenda, sasa akiweka picha zake kuna ubaya gani?

We kama humpendi mkeo kalagabaho!
 
Achana na ya kujisaidia barabarani, unajiabisha unapokuwa kijibwa cha Gadner na ukiona kasemwa unakuja juu, nini maana ya JF kuwa na page ya celebrities. Tuige mifano bora kwa wenzetu......BADILIKA, KUBALI UMECHEMSHA.

wee mwehu gadina ni celebrity wa nchi gani?? unaishi wapi weye unasema gadina ni celebrity?? ni nani gadina na kafanya nn??acha ushamba wee mwehu
 
sasa kama unataka serious issues si uende kwenye jukwaa la siasa wajameni!
 
Back
Top Bottom