Wivu kivipi na walilipa hela kutoka kwa mifuko yao? Mbona naona kwenye comment zao wakisifia performance ya wajamaica Morgan Heritage na Naiboi? Wakenya huwa wanatarajia kupata 'value' wakitumia hela zao, sio ule ukondoo wakuchukulia kila kitu freshi tu.
Mbona wamefanya show kubwa kubwa ulaya na kwingineko Africa hatujawai ona coments za hivi.. hawa watakuwa wametumwa na kingWivu kivipi na walilipa hela kutoka kwa mifuko yao? Mbona naona kwenye comment zao wakisifia performance ya wajamaica Morgan Heritage na Naiboi? Wakenya huwa wanatarajia kupata 'value' wakitumia hela zao, sio ule ukondoo wakuchukulia kila kitu freshi tu.
The show was shitJibu la hii thread yote iko hapa View attachment 983934
Midanganyika ni watu wa kusikitisha sana.Wivu kivipi na walilipa hela kutoka kwa mifuko yao? Mbona naona kwenye comment zao wakisifia performance ya wajamaica Morgan Heritage na Naiboi? Wakenya huwa wanatarajia kupata 'value' wakitumia hela zao, sio ule ukondoo wakuchukulia kila kitu freshi tu.
Hahaha. π Sina la ziada kwasababu miziki ya aina hiyo, bongo fleva, huwa haunivutii. Ila kuna wasanii wengine kama Burna Boy na Davido ambao walikashifiwa pia kwa kufanya performance za ovyo.Mbona wamefanya show kubwa kubwa ulaya na kwingineko Africa hatujawai ona coments za hivi.. hawa watakuwa wametumwa na king
hawa wametumwa hawa si bureHahaha. π Sina la ziada kwasababu miziki ya aina hiyo, bongo fleva, huwa haunivutii. Ila kuna wasanii wengine kama Burna Boy na Davido ambao walikashifiwa pia kwa kufanya performance za ovyo.
Wakenya hawawezi Rudia Makosa Mara mbiliWasafi hata wakirudi leo Kenya, wakenya watajaa kuwaangalia,,wameteka soko ile mbaya
Tatizo la wasanii wa kenya ni wivu tu unawasumbua,,wadada zao wanwapenda wasafi ile mbaya sasa vidume vinaumie vinaleta chuki binafsi mitandoni
Kama hawakuridhika na shoo kwa pesa yao ulitaka waugulie Kimya kimya??
Rubbish...Wasafi hata wakirudi leo Kenya, wakenya watajaa kuwaangalia,,wameteka soko ile mbaya
Tatizo la wasanii wa kenya ni wivu tu unawasumbua,,wadada zao wanwapenda wasafi ile mbaya sasa vidume vinaumie vinaleta chuki binafsi mitandoni