Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
habari za jf?
Nia na madhumuni yangu ni kutaka kujua je kama kiongozi wa kanisa katoliki duniani anaweza kushitakiwa au kukamatwa?
Kwa maana kama sikosei ilikuwa mwaka 2010 kanisa lilikuwa na kesi kule amerka na mwenye kujibu kesi ni papa lakini pope hakuonekana mahakamani wala order yoyote haikutolewa dhidi yake, je sheria zinasemaje?
Nia na madhumuni yangu ni kutaka kujua je kama kiongozi wa kanisa katoliki duniani anaweza kushitakiwa au kukamatwa?
Kwa maana kama sikosei ilikuwa mwaka 2010 kanisa lilikuwa na kesi kule amerka na mwenye kujibu kesi ni papa lakini pope hakuonekana mahakamani wala order yoyote haikutolewa dhidi yake, je sheria zinasemaje?