Dunia itageuka juu chini, kwanza nani wa kumkamata? na atamkamatia wapi? Pope ni zaidi ya rais wa America kama ulikuqa hujui haitakuja itokee ktk dunia hii.[ Sheria za jumuia ya madola zinasemaje kuhusu mshika wake? Maana Vatikan yenyewe ni mwanachama wa jumuia hiyo?