#COVID19 Pope Francis to have COVID-19 vaccine, says it is the ethical choice for all

#COVID19 Pope Francis to have COVID-19 vaccine, says it is the ethical choice for all

Pope Francis has spoken truth and Fact , I get wonders when peoples are criticized him in the initial things.
 
Pope angetaka kusaidia angeshawishi nchi tajiri wasihodhi chanjo ili na nchi zingine duniani wapate kwa wakati. Lakini hafanyi hivyo, sasa tumuelewaje?

Ulitaka wao watujali sisi zaidi ya watu wao? Huoni yanayoendelea chattle?

Wafanye hayo huku tukinunua madege na kuwasimanga?

Akili hizi zitapokuwa ni za Lumumba tu.

Ng'ara Magufuli ng'ara !!!!!!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Pope angetaka kusaidia angeshawishi nchi tajiri wasihodhi chanjo ili na nchi zingine duniani wapate kwa wakati. Lakini hafanyi hivyo, sasa tumuelewaje?
 

Pope Francis to have COVID-19 vaccine, says it is the ethical choice for all​

By Reuters Staff

VATICAN CITY (Reuters) - Pope Francis said on Saturday he planned to be vaccinated against COVID-19 as early as next week and urged everyone to get a shot, to protect not only their own lives but those of others.

“I believe that ethically everyone should take the vaccine,” the Pope said in an interview with TV station Canale 5. “It is an ethical choice because you are gambling with your health, with your life, but you are also gambling with the lives of others.”

Vatican City, the smallest independent county in the world, home to about 450 people including Pope Francis, has said it will shortly launch its own vaccination campaign against the coronavirus.

“Next week,” the Pope said, “we will start doing it here, in the Vatican, and I have booked myself in. It must be done.”
Pope Francis, 84, had part of one lung removed during an illness when he was a young man in his native Argentina, making him potentially vulnerable to the disease.
Vatican City last week said it expected to receive enough COVID-19 vaccine doses in the following days to inoculate all of its residents and its workers who live beyond its walls in Rome.

As part of its vaccination plan, the Vatican said it had bought an ultra-cold refrigerator to store doses, suggesting it will use the vaccine developed by Pfizer and BioNTech, which must be stored at about minus 70 degrees Celsius (minus 94 Fahrenheit).
As excerpts of the interview were released, the official Vatican News website reported that the pope’s personal doctor, Fabrizio Soccorsi, had died of complications from COVID-19.
Soccorsi, 78, was in hospital and was being treated for cancer. He had been the pope’s doctor since 2015.
Reporting by Crispian Balmer; Writing by Giulio Piovaccari; Editing by Peter Graff and Chizu Nomiyama
Our Standards: The Thomson Reuters Trust Principles.

Hii ya Magufuli na genge lake la kujaribu kutuaminisha kuwa wao ni wakatoliki zaidi kuliko Papa haina tofauti na kutega kunguru chambo kikiwa maharage makavu.

"Yaani mnajifanya kumpenda mtoto kuliko hata mama yake? Halafu mnategemea tuwasadiki? Aaaah Wapi.

Hatudanganyiki!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Huwa nawashangaa wanaoshadadia kuamini eti Papa kapigwa chanjo,Waziri mkuu wa uingereza/ujerumani kapigwa chanjo nk, hata akipigwa syringe yenye maji kuzuga mbele ya Camera utajua!?.., Na So fu.cken what?, Papa akipewa chanjo ndo nini?, Kama chanjo inafanya kazi barakoa za nini?, Na mbona waliochanjwa wanazidi kupukutika kama nzige!?
Ujue kondoo anaweza akawa Na akili kuliko wewe
 


Pope Francis to have COVID-19 vaccine, says it is the ethical choice for all
By Reuters Staff

VATICAN CITY (Reuters) - Pope Francis said on Saturday he planned to be vaccinated against COVID-19 as early as next week and urged everyone to get a shot, to protect not only their own lives but those of others.

“I believe that ethically everyone should take the vaccine,” the Pope said in an interview with TV station Canale 5. “It is an ethical choice because you are gambling with your health, with your life, but you are also gambling with the lives of others.”

Vatican City, the smallest independent county in the world, home to about 450 people including Pope Francis, has said it will shortly launch its own vaccination campaign against the coronavirus.

“Next week,” the Pope said, “we will start doing it here, in the Vatican, and I have booked myself in. It must be done.”

Pope Francis, 84, had part of one lung removed during an illness when he was a young man in his native Argentina, making him potentially vulnerable to the disease.

Vatican City last week said it expected to receive enough COVID-19 vaccine doses in the following days to inoculate all of its residents and its workers who live beyond its walls in Rome.

As part of its vaccination plan, the Vatican said it had bought an ultra-cold refrigerator to store doses, suggesting it will use the vaccine developed by Pfizer and BioNTech, which must be stored at about minus 70 degrees Celsius (minus 94 Fahrenheit).

As excerpts of the interview were released, the official Vatican News website reported that the pope’s personal doctor, Fabrizio Soccorsi, had died of complications from COVID-19.

Soccorsi, 78, was in hospital and was being treated for cancer. He had been the pope’s doctor since 2015.

Reporting by Crispian Balmer; Writing by Giulio Piovaccari; Editing by Peter Graff and Chizu Nomiyama

Our Standards: The Thomson Reuters Trust Principles.
This is one of the covid vaccines agenda holders. Who doesn't know?
 
Kwani Papa akisema ndo nini!?.. hivi hii hali ya kutojiamini na kuamini kitu kikifanywa na mzungu ndo sahihi huwa inatokana na nini?.. Kwasababu Papa ndo kaamini chanjo ndo watu wote waiamini chanjo?, Unafikiri chanjo atakayopewa Papa ndo hizi zinazotengenezwa specifically kwa ajili ya watu wa Africa?.. kwa taarifa yako JPM anaongea kutetea watu walio wengi yeye kama yeye hata akihitaji chanjo yenye thamani ya Bilioni 1 za kitanzania hashindwi kununua. Hata akiamua kukodi wazungu specialist kadhaa wakae TZ miezi 6 wakimtengenezea chanjo hashindwi. Jaribu kupanua ubongo na kuachana na mawazo ya kitumwa.
JPM anaongea kwaajili ya watu wengi wa Tanzania,unasahau Papa naye anaongea kwaajili ya watu tena wa dunia yote,akiwemo JPM ambaye ni mtoto wa Papa kiroho,tanua mawazo ndugu.
 
Yes I'm devoted Catholic ,Kuna shida kwani???.
Hujamwelewa vizuri, kuna yule bwana anatembea na camera kila jumapili kwenye nyumba za ibada huku akisema Tz hakuna corona kwani Mungu katuponya, sasa mwenye Kanisa lake kasema watu watumie chanjo ili kujilinda na kulinda wengine.
 
Huwa nawashangaa wanaoshadadia kuamini eti Papa kapigwa chanjo,Waziri mkuu wa uingereza/ujerumani kapigwa chanjo nk, hata akipigwa syringe yenye maji kuzuga mbele ya Camera utajua!?.., Na So fu.cken what?, Papa akipewa chanjo ndo nini?, Kama chanjo inafanya kazi barakoa za nini?, Na mbona waliochanjwa wanazidi kupukutika kama nzige!?
No research no right to speak...
 
Hii ya Magufuli na genge lake la kujaribu kutuaminisha kuwa wao ni wakatoliki zaidi kuliko Papa haina tofauti na kutega kunguru chambo kikiwa maharage makavu.

"Yaani mnajifanya kumpenda mtoto kuliko hata mama yake? Halafu mnategemea tuwasadiki? Aaaah Wapi.

Hatudanganyiki!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ule waraka wa maaskofu katoliki ulisema kuwa tulifanikiwa kudhibiti corona mwaka jana kwa kufuata ushauri wa wataalamu na kumuomba Mungu,sasa sijui wengine wanafeli wapi.
 
Back
Top Bottom