Popo ni zaid ya Roboti za AI huko mikoa ya Kusini

Popo ni zaid ya Roboti za AI huko mikoa ya Kusini

Gautten Potten

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
1,642
Reaction score
3,426
Wanaofanikiwa duniani sio wenye akili na nia pekee, wenzio wana miungu yao.
Wewe una Mungu gani?

Kusini unaweza ukawa na juhudi ila ukaishia kufanikisha wenzio ambao hawaangalii.

Kuna uchawi wa kijinga sana. Mkasa unaanza paragraph ya pili niskize nikupe Issue.

Katika Pekua Pekua za Mzee wangu ktk kilimo mikoa ya huko Kusini akajikuta anavutiwa na zao la korosho.

Najua unashangaa mada imetaja Popo ndani unakutana na korosho. Hapo ni mzigo na ndege ya mizigo.

Kipindi Mzee anavamia kilimo hicho na kutaka kuwapiga K.O aliowakuta mchezoni. Hakuwa na taarifa zote kuhusu eneo husika na matukio yake ila fununu zilipita maskioni na kama ilivyo kawaida ya maafande kupuuza hadi vimtingishe.

Aliingia kulima na kununua heka nyingi za Mikorosho na alizilima kwa ustadi mkubwa na kisasa zaid Ila kilichomkuta.

Ikambidi ahame na kuhama mkoa ule.

Mikorosho Ilianza kuzaa na ilikuwa imeshona kweli kweli kiasi kila mwanakijiji alitamani iwe yake hapa ndipo mkakati wa wanakusini ulianza.

Kuna Mzee alikuwa akiitwa Said Ahmad Chikawe wao walikuwa wakimuita Mtaalam, yaani mfuga majini na mkongwe hapo Kijijini.

Aliagiza watu wamuite mshue waongee mawili matatu.

Kama kawaida Kiburi cha kiafande kwa raia akampuuza. Mzee Side technician mipopo akatuma watu tena. Napo Mshua akabunda akijiona Ameula kumbe mweupe tu.

Miezi Ikasogea balaa likaanza kufikiwa muda wa korosho kuvuna na kuokota.

Mtini zinapungua chini hakuna kitu. Mzee akajua watu wanapiga mchezo kwenda kuokota au kuzivuna toka kwa mti.

Kaweka walinzi sijui ni maafande wale mana aliwaza akiweka hawa raia wangempiga lakini wapi.

Akafunga na mataa Wapii korosha mtini zinapungua chini hukuti kitu.

Siku Akafunga kazi na vijana kwenda kulala shambani huko huko.

Alichojionea hakuamini na hakuelewa ni kama alipumbazwa flani.

Ni popo walikuwa wakibeba Bibo na Korosho zake.

Siku hiyo Popo hawakuwa na mzaha walifanya walichoagizwa mara ×7 yake.

Asubuhi anaangaza mitini alitaka kulia mana wenzie zao chini zilikuwepo na ndio wamekuja kuokota ila yeye popo wamepotea mitini.

Kunae mtoto alitumwa tu amfikishie ujumbe kuwa "Mzee hao Popo ulio waona ndio Afisa mavuno toka kwa yule mzee aliyekuita"

Wageni wenzie wakamtonya Baba ungeitikia wito mzee alitaka mgawane mavuno kiroho safi na Mzee Chikawe hili ni anga lake hakuna utawaza au fanya asijue .

Mzee yule hana shamba lolote ila taita QmmmQ.
Hamiliki chochote ila anamonita kila ki2.
 
Unajua ni kweli uchawi upo, na nimeushuhudia mimi, ila dawa haikuwa kuhama angedili na hilo chawi chikawe. Chikawe ndo angetakiwa ahame.

Hakuna njia rahisi kwenye mafanikio halali, Hakuna na haitokuwepo...
 
Ukienda kwenye kijiji cha watu usijifange mjuaji.

Waite wazee wa kijiji wapooze na kumikumi.

Mishe za upande wa pili watakupiga tafu bila wewe kuhusika Moja kwa moja.

Wape ofa nono.

Wadanganye na vizawadi uchwara.

Kila ukienda wanunulie pombe na wape kumikumi.

Utapata faida chapchap unawekeza upande wa pili.

Ukijifanya nunda wanafanya mafekeche utaona mawenge tu.
 
Ukienda kwenye kijiji cha watu usijifange mjuaji.

Waite wazee wa kijiji wapooze na kumikumi.

Mishe za upande wa pili watakupiga tafu bila wewe kuhusika Moja kwa moja.

Wape ofa nono.

Wadanganye na vizawadi uchwara.

Kila ukienda wanunulie pombe na wape kumikumi.

Utapata faida chapchap unawekeza upande wa pili.

Ukijifanya nunda wanafanya mafekeche utaona mawenge tu.
Mshua alijifanya uchawi vitu vya kusadikika alikandwa akanyoosha mikono.
 
Kuna kijiji flani hapa Tanzania kina mzee mmoja ambaye starehe yake kubwa ni pombe aina ya gongo ila akienda kilabuni anapewa gongo takeaway akanywee nyumbani maana walevi wanakuwa na wasiwasi huyu mzee amekuja kumloga nani? Mzee ni mchawi mbaya kabisa ame-specialize kwenye kutoa adhabu kwa watu walioleta shida. Adhabu zake huwa ni kifo au uwendawazimu. Yaani ukienda kwa waganga wengine wa hicho kijiji kama ishu yako ni ya kutaka kudili na mbaya wako wanakupa transfer ya kumwona huyo dingi. Unaambiwa ukifika kwake hana mambo mengi. Ukitaka umpoteze mbaya wako sharti lake ni rahisi kwamba ukisikia msiba wa adui yako usije ukahudhuria msibani. Madingi kama hao ukijichanganya utajuta.
 
Wanaofanikiwa duniani sio wenye akili na nia pekee, wenzio wana miungu yao.
Wewe una Mungu gani?

Kusini unaweza ukawa na juhudi ila ukaishia kufanikisha wenzio ambao hawaangalii.

Kuna uchawi wa kijinga sana. Mkasa unaanza paragraph ya pili niskize nikupe Issue.

Katika Pekua Pekua za Mzee wangu ktk kilimo mikoa ya huko Kusini akajikuta anavutiwa na zao la korosho.

Najua unashangaa mada imetaja Popo ndani unakutana na korosho. Hapo ni mzigo na ndege ya mizigo.

Kipindi Mzee anavamia kilimo hicho na kutaka kuwapiga K.O aliowakuta mchezoni. Hakuwa na taarifa zote kuhusu eneo husika na matukio yake ila fununu zilipita maskioni na kama ilivyo kawaida ya maafande kupuuza hadi vimtingishe.

Aliingia kulima na kununua heka nyingi za Mikorosho na alizilima kwa ustadi mkubwa na kisasa zaid Ila kilichomkuta.

Ikambidi ahame na kuhama mkoa ule.

Mikorosho Ilianza kuzaa na ilikuwa imeshona kweli kweli kiasi kila mwanakijiji alitamani iwe yake hapa ndipo mkakati wa wanakusini ulianza.

Kuna Mzee alikuwa akiitwa Said Ahmad Chikawe wao walikuwa wakimuita Mtaalam, yaani mfuga majini na mkongwe hapo Kijijini.

Aliagiza watu wamuite mshue waongee mawili matatu.

Kama kawaida Kiburi cha kiafande kwa raia akampuuza. Mzee Side technician mipopo akatuma watu tena. Napo Mshua akabunda akijiona Ameula kumbe mweupe tu.

Miezi Ikasogea balaa likaanza kufikiwa muda wa korosho kuvuna na kuokota.

Mtini zinapungua chini hakuna kitu. Mzee akajua watu wanapiga mchezo kwenda kuokota au kuzivuna toka kwa mti.

Kaweka walinzi sijui ni maafande wale mana aliwaza akiweka hawa raia wangempiga lakini wapi.

Akafunga na mataa Wapii korosha mtini zinapungua chini hukuti kitu.

Siku Akafunga kazi na vijana kwenda kulala shambani huko huko.

Alichojionea hakuamini na hakuelewa ni kama alipumbazwa flani.

Ni popo walikuwa wakibeba Bibo na Korosho zake.

Siku hiyo Popo hawakuwa na mzaha walifanya walichoagizwa mara ×7 yake.

Asubuhi anaangaza mitini alitaka kulia mana wenzie zao chini zilikuwepo na ndio wamekuja kuokota ila yeye popo wamepotea mitini.

Kunae mtoto alitumwa tu amfikishie ujumbe kuwa "Mzee hao Popo ulio waona ndio Afisa mavuno toka kwa yule mzee aliyekuita"

Wageni wenzie wakamtonya Baba ungeitikia wito mzee alitaka mgawane mavuno kiroho safi na Mzee Chikawe hili ni anga lake hakuna utawaza au fanya asijue .

Mzee yule hana shamba lolote ila taita QmmmQ.
Hamiliki chochote ila anamonita kila ki2.
Kunae mtoto alitumwa tu amfikishie ujumbe kuwa "Mzee hao Popo ulio waona ndio Afisa mavuno toka kwa yule mzee aliyekuita"[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom