Popote Ulipo Hii Itakufikia Tu..!!

Weraaa [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] weraaaa
 
Ila mtaani kwako nahisi huwa wanakukoma, nadhani unachamba kuanzia jirani hadi balozi
 
hebu fungukeni kidogo
mara sadifa
mara mbunge
mara sijui nini huko
 
Unamsifia mwanzoni baadae unamuona katuni duuuh mapenzi ni hatari sana
 
Labda huu ujumbe uwafikie wale wote ambao wamepata wapenzi wanawapenda sana na awanajitolea kwao.. lakin wao wanajiona miungu watu na kuanza kudharau na kuwafanyia wapenzi wao yasiyo faa. Niwaambie tu.. yatawakuta mabaya na makubwa ... maana malipo ni hapa hapa duniani
 
Aisee hii ni zaidi ya laana
 
Salamu zisha mfikia mlengwa kazi kwake kupepeta[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…