Popote Ulipo Hii Itakufikia Tu..!!

Mimi ni mwanaume, kama na wewe ni mwanaume utakuwa umejishushia. Uzi kama huu unatakiwa uletwe na mwanamke.

Sio kweli, kuna wanaume wajitambua. Kuona pale mwenzao alipokosea
 
Hapo nakumbuka ule wimbo usemao TULIZALIWA WOTE KIJIJI KIMOJA,LAKINI HUKUTAKA KUNIOA KWA SABABU,ULISEMA SINA TABIA NZURI.SASA NIMEOLEWA UNAANZA KULETA MANENO NA CHOKOCHOKO ETI UNIOE,UNIVURUGIE

JIBU LIKAWA

NINACHOJALI NI UTU PIA NA HESHIMA KWA MUME WANGU,KAMA UNACHORINGIA NI PESA MIMI SINA HAJA NAZO,NINACHOJALI NI UTU PIA NA HESHIMA KWA MUME WANGU

USIFIKIRI NIMESHA SAHAU KASHIFA NA VITENDO VYAKO

wadada tafuteni haka na wimbo ka long time kana wosia mzuri
 
Sio kweli, kuna wanaume wajitambua. Kuona pale mwenzao alipokosea
Kujua mwenzio alikosea wapi ndani ya ndoa ni vigumu sana, wanaojua makosa na mapungufu ya ndoa ni wanandoa wenyewe. Au unataka kusema yeye aliolewa halafu akaachika?
 
Nimesiikia kishindo cha jiwe ulilotupa gizani Stunter! Bado sijajua mlengwa nani! ! Nasubiri kusikia kilio cha lililompata au sauti za wasamaria wakisema wamemuona mjeruhiwa!Hakika leo umekuja kifasihi zaidi!!! Bado natafakari chanzo cha mabadiliko yako! Ila huwa nakukubali kinoma!
 
Huu wimbo nimeusikia jumapili hii iliyopita. Ni wimbo Wa nani wadau!?
 
Stunter unajua kuwatega.... Unajichagulia tu hapo nyavu imejaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…