Popote utakapo muona huyo ni mke wangu mwambie namtafuta

Popote utakapo muona huyo ni mke wangu mwambie namtafuta

Nitajihidi kumuelezea japo kwa uchache na nitatumia picha.

Ndugu msomaji tafadhali sana mwambie mume wake namtafuta sana.

Kwanza kabisa si mnene sana japo kajazia kidogo pia ni mrefu.
Si mweupe
Ni mweusi titititiii!.... Huyo ni mke wangu.
Hajichubui wala si mweupe wa kuzaliwa.
Ana matako flani makubwa na malaini. Huyo ndie mke wangu mimi.

Hana mtoto wala hajawahi kuzaa,
Kachoka kukaa kwao na ananitafuta kila siku ni vilio akimuomba amletee mume wake.
Mwambie ni mimi namtafuta.

Mwambie kuwa mume wake nimejipata sasa nina kwangu na nina usafiri wa kutembelea.
Mwambie aje haraka kabla wahuni wa jiji hawajanivamia.

Msisahau kumwambia kuwa sijazeeka ni kijana wa miaka 30.

Popote mtakapo muona mwambieni mume wake nipo tayari sasa namuita aje Pm nimpe namba.
Tulia wewe!!!
Acha wenge!!!
 
Nitajihidi kumuelezea japo kwa uchache na nitatumia picha.

Ndugu msomaji tafadhali sana mwambie mume wake namtafuta sana.

Kwanza kabisa si mnene sana japo kajazia kidogo pia ni mrefu.
Si mweupe
Ni mweusi titititiii!.... Huyo ni mke wangu.
Hajichubui wala si mweupe wa kuzaliwa.
Ana matako flani makubwa na malaini. Huyo ndie mke wangu mimi.

Hana mtoto wala hajawahi kuzaa,
Kachoka kukaa kwao na ananitafuta kila siku ni vilio akimuomba amletee mume wake.
Mwambie ni mimi namtafuta.

Mwambie kuwa mume wake nimejipata sasa nina kwangu na nina usafiri wa kutembelea.
Mwambie aje haraka kabla wahuni wa jiji hawajanivamia.

Msisahau kumwambia kuwa sijazeeka ni kijana wa miaka 30.

Popote mtakapo muona mwambieni mume wake nipo tayari sasa namuita aje Pm nimpe namba.
🤣🤣🤣 dah! izi nyege kumbe zkukuzd wawesa kuwa kichaa ukaonekana umelogwa kumbe oil aubadilish
 
Wazazi wako wanajua stage uliyofikia kijana???
 
Kachoka kukaa kwao?? 😁😁
Siku hizi hawakai kwao wanajitegemea
 
Back
Top Bottom