Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Jina lako linanikumbusha utawala wa hitler na lightning war yake.Kikuyu ni 9m kwa sasa.
Hayo yatakuwa ni maajabu mapya ya duniaHivi inaweza kutokea Kenya kuwa na rais kutoka jamii ya wa-Somali?
Sky, kama ana outstanding leadership qualities inawezekana. See the case of Obama, black from Africa! Something that was unthinkable!Hivi inaweza kutokea Kenya kuwa na rais kutoka jamii ya wa-Somali?
USA is not Africa mkuuSky, kama ana outstanding leadership qualities inawezekana. See the case of Obama, black from Africa! Something that was unthinkable!
You might be right! Tribal affiliation are much more strong than anything!USA is not Africa mkuu
Makabila mengi mbona umeyaacha?Wadau kwa mujibu wa Kenya National Bureau of Statistics, idadi ya watu kama ifuatavyo:
1) Wakikuyu - 6,622,576
2)Waluhya- 5,338,666
3) Wakalenjin - 4,957,328
4)Wajaluo -4,044,440
5) Wakamba - 3,893,157
6) Wakisii - 2,205,609
7) Wameru - 1,658,108
8) Waturkana - 988,592
9) Wamasai - 841,622
10) Somalis - 2,385,572
Karibuni
Wasomali ni wengi sana....pia 2009 wengi hawakuhesabiwa.
Usishangae wakiwa 3-4m now.
Sio wasomali tu hata chansi ya muislam kuwa rais Kenya sio Leo wala keshoHivi inaweza kutokea Kenya kuwa na rais kutoka jamii ya wa-Somali?