Porojo ya majini

Porojo ya majini

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
Hakika porojo hii sasa ndio ina trend, naomba kuuliza kama yanga ina majini, ambayo ndio inawasaidia kufunga magoli, ingekuwa inafungwa kweli? Hivi Ihefu iliwafungaje Yanga? Hivi yanga ingekuwa inatoa jasho jingi na ku struggle sana kupata magoli? Hayo majini huwa yako wapi wakati huo?

Mnisaidie kujua zaidi jinsi majini yanavyosaidia kufunga magoli
 
hakika porojo hii sasa ndio ina trend,naomba kuuliza kama yanga ina majini,ambayo ndio inawasaidia kufunga magoli,ingekuwa inafungwa kweli? hivi ihefu iliwafungaje yanga? hivi yanga ingekuwa inatoa jasho jingi na ku struggle sana kupata magoli?hayo majini huwa yako wapi wakati huo?
mnisaidie kujua zaidi jinsi majini yanavyosaidia kufunga magoli
je? unayajua majini ya ihefu?
 
Nashauri Mzee Mpili na Haji Manara Wabanwe kuhusu ishu ya Majini.

Lzm watakuwa ndo Wahusika Wakuu.

Kijana Wa Watu Fistooo aliteseka sana.
 
Mbumbumbu Fc wamekua wakiteseka Sana nje na ndani ya uwanja kwaiyo wanatafuta namna yoyote ya kupata kujifariji.

Bahati mbaya maeneo yote wame prove failure,kwenye uongozi uwanjani, wachezji n.k kwaiyo tutegemee vitu vingi vya kipuuzi ili wapate faraja.

Mwisho wa Msimu watakua na halimbaya kwakua Mataji yote yanakwenda kwa Yanga.
 
hakika porojo hii sasa ndio ina trend,naomba kuuliza kama yanga ina majini, ambayo ndio inawasaidia kufunga magoli,ingekuwa inafungwa kweli? hivi ihefu iliwafungaje yanga? hivi yanga ingekuwa inatoa jasho jingi na ku struggle sana kupata magoli?hayo majini huwa yako wapi wakati huo?
mnisaidie kujua zaidi jinsi majini yanavyosaidia kufunga magoli
Naona unatoka nje ya maudhui either kwa makusudi au kwa kutoyafahamu. Majini aliyoyasema Fiston Mayele sio ya kuiwezsha Yanga kufunga magoli, bali kumdhuru yeye (Mayele). Hakuna mahali ambapo Mayele amelalamika kuhusu majini yanayosaidia Yanga kufunga magoli. Sasa rudi kwenye maudhui kwa kuzungumzia majini ya washabiki na viongozi wa Yanga yanayotumwa kumdhuru Mayele
 
Tatizo la wanajifanya wazee wa timu au viongozi wa "kamati za ufundi" katika harakati zenu za ushindi mnawashirikisha wachezaji wa kigeni na makocha mila zenu za u Swahili Swahili ambazo sio asili Yao. Ukweli hizi timu mbili Zina mfumo wa dini Moja yenye asili ya uarabuni. Hivyo Mila na destiri zooote za kiarabu mnalisha watu wenye Mila na Imani tofauti ila kwenu ni Maisha ya kawaida. Atavumilia akiwa kwenye mkataba lakini ni mambo mageni Sana kwake timu ikifanya vibaya wataletwa wasoma Dua watachoma maubani hizo ni Mila tofauti kabisa kwa mataifa na Imani nyingine. Siku anapotoka hapo ansmwaga nyongo. Onyo tuache kuhusisha Imani za dini na za kimila kwenye mipira yenye washabiki wachezaji na benchi la ufundi la Mila na dini tofauti. Unakuta hata kiongozi wa timu anakwenda kuongea na wachezaji au ana address kwenye media anavyoanza kwa swala Wala hajishtukii
 
Naona unatoka nje ya maudhui either kwa makusudi au kwa kutoyafahamu. Majini aliyoyasema Fiston Mayele sio ya kuiwezsha Yanga kufunga magoli, bali kumdhuru yeye (Mayele). Hakuna mahali ambapo Mayele amelalamika kuhusu majini yanayosaidia Yanga kufunga magoli. Sasa rudi kwenye maudhui kwa kuzungumzia majini ya washabiki na viongozi wa Yanga yanayotumwa kumdhuru Mayele
Mnavyo itwa mbumbumbu Fc, Rage hajakosea Sasa Kiongozi wa Yanga au Shabiki wa Yanga amtumie Jini Mayele ili iweje.
Mayele hakuondoka kwa ugomvi na Yanga, Yanga wamefaidika kwa kumuuza Mayele, Pyramid hawachezi ligi Moja na Yanga, Pyramid hawapo kundi Moja kwenye michezo ya kimataifa.
Simba wamejikuta wameingia kwenye jambo wasilo lifahamu na kulivamia ili kupunguza stress kumbe wanazidi kujiidhalilisha.
 
Majini FC ,kila mechi wanaamini uchawi na kutafuta taulo za makipa wa timu pinzani, hawa wana majini kweli na mchezaji wao wa zamani kasema ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnavyo itwa mbumbumbu Fc, Rage hajakosea Sasa Kiongozi wa Yanga au Shabiki wa Yanga amtumie Jini Mayele ili iweje.
Mayele hakuondoka kwa ugomvi na Yanga, Yanga wamefaidika kwa kumuuza Mayele, Pyramid hawachezi ligi Moja na Yanga, Pyramid hawapo kundi Moja kwenye michezo ya kimataifa.
Simba wamejikuta wameingia kwenye jambo wasilo lifahamu na kulivamia ili kupunguza stress kumbe wanazidi kujiidhalilisha.
Aliyesema mambo ya kutupiana majini si Simba ni Mayele. Umemuacha mkeo, kaamua kutoa siri za naumbile yako, majirani wakasikia na kushangaa, unahoji majirani kwa kushangaa? Mtafute mkeo mliyeachana atengue kauli.
 
Mnavyo itwa mbumbumbu Fc, Rage hajakosea Sasa Kiongozi wa Yanga au Shabiki wa Yanga amtumie Jini Mayele ili iweje.
Mayele hakuondoka kwa ugomvi na Yanga, Yanga wamefaidika kwa kumuuza Mayele, Pyramid hawachezi ligi Moja na Yanga, Pyramid hawapo kundi Moja kwenye michezo ya kimataifa.
Simba wamejikuta wameingia kwenye jambo wasilo lifahamu na kulivamia ili kupunguza stress kumbe wanazidi kujiidhalilisha.
Sasa Rage anaingiaje hapo wakati aliyeongea maneno hayo ni Mayele? Nilitegemea utajibu hoja kwa kuielekezea madai ya Mayele. Wewe ndio unasema Mayele hakuondoka kwa ugomvi na Yanga, lakini yeye Mayele anasema mashabiki na viongozi wa Yanga wanamtumia majini. Sasa tukuamini wewe au Mayele?

1707804462741.png
 
Naona unatoka nje ya maudhui either kwa makusudi au kwa kutoyafahamu. Majini aliyoyasema Fiston Mayele sio ya kuiwezsha Yanga kufunga magoli, bali kumdhuru yeye (Mayele). Hakuna mahali ambapo Mayele amelalamika kuhusu majini yanayosaidia Yanga kufunga magoli. Sasa rudi kwenye maudhui kwa kuzungumzia majini ya washabiki na viongozi wa Yanga yanayotumwa kumdhuru Mayele
Mambo ya kijinga yanayoongelewa na wajinga.Mayele mwenyewe amekuwa mjinga kuongelea issue za kininga.Alitakiwa kuwa professional na kujua amefeli wapi.Najua walioanzisha ujinga huu wanataka kumtumia Mayele kupiga pesa lamba2 na wajinga wajinga fc.Muda utaongea lakini Mayele wa phobia ya majini will never be the same again unless achore mstali aanze upya.
 
Sasa Rage anaingiaje hapo wakati aliyeongea maneno hayo ni Mayele? Nilitegemea utajibu hoja kwa kuielekezea madai ya Mayele. Wewe ndio unasema Mayele hakuondoka kwa ugomvi na Yanga, lakini yeye Mayele anasema mashabiki na viongozi wa Yanga wanamtumia majini. Sasa tukuamini wewe au Mayele?

View attachment 2902318
Rage anaingia kwakua mmoja wa viongozi wa Simba Ahmed Ally amejikuta akijiingiza kwenye mambo yasiyo mhusu.
Kwakua yeye ni msemaji na Kiongozi wa Simba na amejihusisha na mtafaruku uo basi Simba imeingia mojakwa kwa Moja.

Lakini werevu wanaelewa kisaikolojia Simba Ina Hali mbaya maana uwanjani mnahangaika, nje ya uwanja Yanga wameiteka nchi na wanaenda kuzindua ujenzi wa uwanja.
Maana yake katika mambo yahusuyo mpira wa miguu Nchini mmedhibitiwa Kila idara.
Sasa ili mpte relief mnakuja na vi content vya kuokoteza ili kisaikolojia mmpate nafuu kumbe ndio mnaingia katika ule mstari wa Rage kua Simba ni ma mbumbumbu.
 
... Najua walioanzisha ujinga huu wanataka kumtumia Mayele kupiga pesa
Mbona ni kama vile hamtaki kuamini kwamba aliyeanzisha madai haya ni Mayele mwenyewe? Kwani kama kuna timu Tanzania inataka kumnunua Mayele kutoka Pyramids, inashindwa nini kumchukua eti hadi ianzishe madai haya?
 
Rage anaingia kwakua mmoja wa viongozi wa Simba Ahmed Ally amejikuta akijiingiza kwenye mambo yasiyo mhusu.
Kwakua yeye ni msemaji na Kiongozi wa Simba na amejihusisha na mtafaruku uo basi Simba imeingia mojakwa kwa Moja.
Kwa hiyo wote waliojiingiza kwenye mjadala wa Mayele ni wajinga, akiwemo Haji Manara msemaji na mshauri wa Yanga, ambaye aliyejiingiza kumsihi Mayele aifute post?
 
Mbumbumbu Fc wamekua wakiteseka Sana nje na ndani ya uwanja kwaiyo wanatafuta namna yoyote ya kupata kujifariji.

Bahati mbaya maeneo yote wame prove failure,kwenye uongozi uwanjani, wachezji n.k kwaiyo tutegemee vitu vingi vya kipuuzi ili wapate faraja.

Mwisho wa Msimu watakua na halimbaya kwakua Mataji yote yanakwenda kwa Yanga.
Mayele ni mbumbumbu?. Simba wala hawakuwa wakijua kinachoendelea. Siri zimetoka ndani ya nyumba😂😂
 
Naona unatoka nje ya maudhui either kwa makusudi au kwa kutoyafahamu. Majini aliyoyasema Fiston Mayele sio ya kuiwezsha Yanga kufunga magoli, bali kumdhuru yeye (Mayele). Hakuna mahali ambapo Mayele amelalamika kuhusu majini yanayosaidia Yanga kufunga magoli. Sasa rudi kwenye maudhui kwa kuzungumzia majini ya washabiki na viongozi wa Yanga yanayotumwa kumdhuru Mayele
oh kumbe!
 
nazidi kujifunza zaidi juu ya suala la majini,je mtu anayemuamini Mungu na kusali sana hayo majini yanaweza kumdhuru?
 
Back
Top Bottom