Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Timu Nyingi za nje zipi zinazomuhitaji Aziz K Zaidi ya Tetesi
Hakuna timu yotote kubwa iliyomuhitaji Aziz k kutoka nje, tunapozungumzia timu kubwa zinajulikana,
Aziz K ni One season Wonder, watu wenye weredi na soka hawawezi kukurupuka kununua kimulimuri kinachowaka usiku tu mchana kinapotea,
Narudia tena Aziz K ni One season Wonder na msimu ulipopita ndo msimu wake bora toka aanze soka, na unaweza kubaki kua msimu wake bora asi shine tena,
Aziz k Na fei toto walicheza timu Moja na msimu Ule Aziz alikua anasubili nje Fei Anaanza, Fei ana muendelezo wa kufanya vizuri kwa zaidi ya misimu mitatu
Aziz k Alifanya vizuri kiasi akiwa Asec akaja yanga akadrop mbele ya Feisal na Fei baada ya kuondoka ndo Aziz aka shine
Timu Kubwa Zilizo muhitaji Feisal ni
Simba
Wydad
Mamelodi
Timu zilizomuhitaji Aziz K
Kaizer Chief
USMA Alger
JS
Hakuna timu yotote kubwa iliyomuhitaji Aziz k kutoka nje, tunapozungumzia timu kubwa zinajulikana,
Aziz K ni One season Wonder, watu wenye weredi na soka hawawezi kukurupuka kununua kimulimuri kinachowaka usiku tu mchana kinapotea,
Narudia tena Aziz K ni One season Wonder na msimu ulipopita ndo msimu wake bora toka aanze soka, na unaweza kubaki kua msimu wake bora asi shine tena,
Aziz k Na fei toto walicheza timu Moja na msimu Ule Aziz alikua anasubili nje Fei Anaanza, Fei ana muendelezo wa kufanya vizuri kwa zaidi ya misimu mitatu
Aziz k Alifanya vizuri kiasi akiwa Asec akaja yanga akadrop mbele ya Feisal na Fei baada ya kuondoka ndo Aziz aka shine
Timu Kubwa Zilizo muhitaji Feisal ni
Simba
Wydad
Mamelodi
Timu zilizomuhitaji Aziz K
Kaizer Chief
USMA Alger
JS