tatizo ni fuel consumption na si CC maana gx100 ina cc 1988 tu lakn inakula balaaNimeona wadau wengi hapo wamezungumzia kuhusu Fuel Consumption but mbona similar cars kama Mark X bei yake iko juu pamoja na kuwa na cc2500?
Hebu fafanua mkuu
Ha ha kumbeHayo magari madogo yenye injini kubwa nuksi sana wakati wa kuuza nakumbuka niliuza GX 100 yangu nzuri balaa kwa milioni 3.5
Ingekua hivyo akuna mtu angemiliki passo..watu wanaoendesha passo unadhani wanapenda..acha dharau na kazi za watu..mil 6 au 7 brevis kutoka japan..?Yani utafiti wako ni gari hiyo moja na dalali wako huyo mmoja ndio kipimo tosha kuwa Brevis zimeporomoka bei au unataka kujua bei? Yani kipimo chako cha kujua bei ya magari ni magari chakavu na yaliyogongeshwa yaliyopo mikonini mwa watu?
Ingia Trade car view chagua gari brevis ya dola 2500 japo hii pia imechoka ipigie garama zake zote mpaka ikufikie mkononi ndio utajua brevis ni milioni 6 au 7.
Mwambie akwambie ukweli consumption ya gari lake kwa data..mwengine akiweka hivyo haimaanishi kuwa anamaliza adi tank..inabaki reserve may be kwa mizunguko after work or anataka kumaintain gauge yake kutokana na level yake yy...izi gari sio kama zinabwia mafuta kilive..sa kama mtu anacomplain gari inakula 10 km per 1 ltr huyo atakiwi amiliki gari..watu wanaendesha range 4.0 inakula adi 5 kms na wanaona sawa na sio kama mtu ana hela saaana kivile..sidhan kama kuna ukweli..nina jamaa ana alteza kuja kurudi job mafuta ya 20 na umbali ni km 32.
Soma tena nilichoandikaIngekua hivyo akuna mtu angemiliki passo..watu wanaoendesha passo unadhani wanapenda..acha dharau na kazi za watu..mil 6 au 7 brevis kutoka japan..?
Alteza haina complains ya namna yoyote ile kwa watumiaji..hamna mtumiaji niliyemsikia anasema inakula mafuta hata siku moja wala ubovu ambao unafanya iwape wasiwasi watumiaji..ila nnavyojua zipo aina mbili..kuna six cylinder na 4 cylinder..ukinunua six cylinder kibongo bongo ndio sawa na ndoa ya kikristo unaweza ukapata shida kutrade sana maana haina pulling kama four cylinder ingawa utumiaji wa mafuta ni kama wa four cylinder tu..zinapishana performance..aim ya vijana kuchukua alteza ni performance..so they opt for four cylinder..n not six..Weka bei na picha ya alteza mkuu tusaidiane matatizo
Anhaa nimeshasoma chief..ila ni hivi.kama mdau juu alivyosema watumiaji wa hizi brevis wengi wameibuka kama watumiaji wa gari ya kwanza..me siamini kama kuna mtu adi leo anaagiza brevis japan as a second car..tuachane na mambo ya kuagiza..kwa soko la bongo brevis imekua gari la ovyo sana katika kushuka kwa bei ukilinganisha ata na toyota runx,premio au allion kwa classes yake..jaribu kutafuta premio kwa budget ya mil 9..yan unaweza ukapata ila kwa ugumu sanaa..tofauti na brevis saiv ata nikisimama na 5 mil nikiwa na subira naweza nikapata gari mbichi kabisa..na huo kuna mdau ameeleza kuwa kuna b mkubwa anauza hiyo gari 5 mil na bado anahangaika kupata mteja..Soma tena nilichoandika
Wamezoea kuendesha bajaji itakuaMwambie akwambie ukweli consumption ya gari lake kwa data..mwengine akiweka hivyo haimaanishi kuwa anamaliza adi tank..inabaki reserve may be kwa mizunguko after work or anataka kumaintain gauge yake kutokana na level yake yy...izi gari sio kama zinabwia mafuta kilive..sa kama mtu anacomplain gari inakula 10 km per 1 ltr huyo atakiwi amiliki gari..watu wanaendesha range 4.0 inakula adi 5 kms na wanaona sawa na sio kama mtu ana hela saaana kivile..
Mkuu gx 100 yako consumption yako ilikuaje tumalize ubishi humu.Hayo magari madogo yenye injini kubwa nuksi sana wakati wa kuuza nakumbuka niliuza GX 100 yangu nzuri balaa kwa milioni 3.5
Bado zinapatikana izi
Nyumba laki una utan weweVyuma kaka sio kila gari limeshuka sana,mambo ya bei hata mahindi yapo chini
Naimani hata bei za nyumba zipo chini pia
Kufikia 2019 tutanunua hata kwa laki tu
Hii gari inafunguka sana..Hayo magari madogo yenye injini kubwa nuksi sana wakati wa kuuza nakumbuka niliuza GX 100 yangu nzuri balaa kwa milioni 3.5