BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,252
Hizi gari Ziko very comfortable ila tatizo ni delicate sana body yake, zinakula sana mafuta na pia kuendesha zaidi ya miaka mitatu ni majaaliwa!
Hii gari hata Ukinunua Leo ukataka uiuze kesho still Bei utauza kwa Hasara sana, na wengi wanaonunua hizi ni wale wanaonunua gari kwa Mara ya kwanza kwny maisha Yao!
Hii gari hata Ukinunua Leo ukataka uiuze kesho still Bei utauza kwa Hasara sana, na wengi wanaonunua hizi ni wale wanaonunua gari kwa Mara ya kwanza kwny maisha Yao!