rajabkisauti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 566
- 316
Mark x hiyo v shaped 6 cylinder ni kwa ajili ya kupunguza vibration..walichofanya ni kupunguza final gear ratio(ina gear 6) ndio maana mark x highway inafika hadi 15km/l kama ni mpya..ila brevis gear final gear ratio (gear 5) ni kubwa hivyo highway inafika 13km/l ikiwa mpya...Mark X ina mfumo mzuri wa ulaji mafuta maana ni V6 sio inline 6 kama brevis.
Kuna kitu watu wengi tunakosea pale tunapoamua kununua magari. Ni vigumu saana kupata gari lenye kila kitu unachohitaji in the same package. Ukitaka performance kwenye gari, jua utasacrifice fuel economy. Ukitaka fuel economy, performance ni tatizo. Ukitaka comfort, jua handling unapoteza. Na vingine kama hivyo. Na from experience, gari ambazo ni comfortable na luxurious mara nyingi zinakua na engine kubwa, sababu kuna vitu vingi saana vinavyoongeza uzito. eg power seat, seat heater, leather seats na vingine vingi. Pia gari luxurious zimetengenezwa kwa watu ambao kwao mahitaji sio pesa, so hawawazi saana mafuta.
Brevis ilitengenezwa kwa mtazamo huo. Kujaribu kuwapata Wajapan gari lenye comfort na performance ya compact executive salon za Ulaya kama 3 series, C class na A4. Ingawa haikufanya vizuri kwenye mauzo, na hiyo kazi ya kupambana na kina 3 series na C class ikaachiwa Lexus Is ambayo mwanzo (before 2005) ilikua haiuzi Japan kama lexus, bali Altezza. Pia kama jina lake Brevis linavyomaanisha, ni brief. So ilizalishwa kwa muda mfupi.
Sasa sisi hatufuatilii hayo yote. 1JZ na 2JZ engine zina matumizi makubwa kidogo ya mafuta kulinganisha na engine tulizozoea za kina Corolla na salon cars ndogo ndogo. Ndio maana tunalalamika. Vile demand kubwa ya used car ipo Africa, hizi gari zenye matumizi makubwa ya mafuta zinashuka bei saana sababu hatuziwezi. Wengi wetu kipato chetu ni kidogo.
ndugu yangu usinikumbushe ya gx100- japo ilikuwa kavu cc 1988 nadhan,kuiuza nilihaha,siku naiachia sikuamini,ila road hizi gari ni tamu sana,ukilipaki sehem unakuwa umepaki chuma kweli kweli.sijui tatizo ni nini maana hiyo GX 100 iko vizuri sana mpaka aliyonunua alikuja kunishukuru hata wese inakula kawaida tofauti na gari niliyonayo sasa hivi but kuuzika ilikuwa ngumu sana niliiweka sokoni mwaka mzima watu wanachungulia wanatereza sasa sijui zina mkosi gani kitaani yaani bora hata Vitz inauzika kirahisi na kwa bei nzuri
True,hizi ndinga uwe na ndefu bwana utazipenda.unajua ununuzi wa gari unategemea na matumizi ya mtu,kuna mtu ananunua gari kwa kuwa tu flani analo,au anapenda muundo pasipo kujiuliza maswali mengi kama ukubwa wa injini n.k
kwa mfano gari kama GX 110 six cylinder unakomaa nalo kwa misele ya Dar si unataka pressure tu..lakini ukiwa na misele ya mbali ukilizubua unaona kweli uko na Gari ya Safari
Brevis ni Gari nzuri sana na wala haina Tatizo,soko tu na usawa wa sasa wa mtanzania ndo maana unaona kama bei iko chini lakini kiukweli gari nyingi zimeshuka bei
zile gari bwanandugu yangu usinikumbushe ya gx100- japo ilikuwa kavu cc 1988 nadhan,kuiuza nilihaha,siku naiachia sikuamini,ila road hizi gari ni tamu sana,ukilipaki sehem unakuwa umepaki chuma kweli kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126]umenivunja mbavu! Brevis ni gari yenye heshima mjini??? mji gani huo?
Haahaaahaa...huu Uzi ulinipita kuna vituko hapa mbavu sina[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Daah yenye cc 200?hio itakua ni zile pikipiki za FEKON
Usidanganye watu wakaumia mkuu nina ufahamu/uzoefu mzuri wa hizi gari wa zaidi ya miaka mitano.Mzee,Vx v8 cc 5000,model 200 na model 300,kama yale ya serikali(kilimo kwanza).
Yanatumia lita 1/10 km kwa safari ndefu(high way) na lita 1/8 km kwa mizunguko ya mjini.
Amini mkuu,usikariri.
mkuu usimbishie mdau... inaonekana huijui rotary engine hizi ni pistonless engines... kwa jinsi zilivyotengenezwa humo ndani kuna vitu vinaitwa oil injectors vimewekwa kwa ajili ya kunyunyuzi oil kulubricant seals za kwenye combustion chambers it sound crazy eeeh oil in combustion chamber but dats how realy this rotor engins work na the more hicho kitendo kinafanyika ile oil ina kuwa burned along wit gasoliseKaka hakuna kitu kinaitwa rotary engine ati ukadai wewe kawaida yake kula oil
Kaka hakuna engine inaokula wala kunywa oil isipokua iwe ina hitilafu
Kaka hata cherehani ikianaza kua nzito ina mafuta yake
Aliokudanganya ENGINE ya gari kula au kunywa oil huyo ni kiboko yako
Wewe unaonesha utakua mtoto wa Mfalme wa saud arabia
Yaani ukifika kituoni unaweka mafuta na oil
Duuuuhh!!!!!
sijui tatizo ni nini maana hiyo GX 100 iko vizuri sana mpaka aliyonunua alikuja kunishukuru hata wese inakula kawaida tofauti na gari niliyonayo sasa hivi but kuuzika ilikuwa ngumu sana niliiweka sokoni mwaka mzima watu wanachungulia wanatereza sasa sijui zina mkosi gani kitaani yaani bora hata Vitz inauzika kirahisi na kwa bei nzuri
tatizo sio Gari bali ni Wabongo na Madalali wengi wa Magari ambao upeo wao wa kujua Magari mdogo sana kiasi kwamba wanapotosha sana wateja.sijui tatizo ni nini maana hiyo GX 100 iko vizuri sana mpaka aliyonunua alikuja kunishukuru hata wese inakula kawaida tofauti na gari niliyonayo sasa hivi but kuuzika ilikuwa ngumu sana niliiweka sokoni mwaka mzima watu wanachungulia wanatereza sasa sijui zina mkosi gani kitaani yaani bora hata Vitz inauzika kirahisi na kwa bei nzuri
HAPA SIO KWELI MKUU GX100/110 MJINI INAKULA 8/L HADI 9/L SAFARINI HADI 12 INGEKUA INAKULA UNAVOSEMA NSINGEENDESHA KUTOKA KIBAMBA HADI SINZA KWA MSHAHARA WA SERIKALIPole saaana mkuu kwa kutokuelewa unywaji wa mafuta wa gari aina ya gx100/110
Nikweli inatumia lita1 kwa km9 lkn hapo umenyooka ukiwa safarini tena spidi isivuke 100
Lkn kwa matumizi ya mjini lita moja nafkiri itakua km4 ama5 kutokana na kutembelea gea kubwa hapa na hapa breki mara jam
Hio mazda kunywa hivyo oil ujue ringpiston zilikua zimechoka
Wewe utaona gari sio mbovu lkn nyuma ina smoke moshi unaotoka huko kama unapulizia shamba la pamba
Ina ikiendelea hivyo itafkia muda itaanza kumiss hapo ujue oil inapanda kwenye plug
Swala la matumizi ya mafuta kwasasa ndio linapewa kipaumbele saana kwa mfano nchini india wadosi wamemodify hadi kutumia gesi badala ya mafuta taxi zote za india ni gesi tu
Ni toleo la mwaka gani ungeshauri mtu anunue!?Wengi walinunua Brevis kwa sifa
Ndani ni nzuri sana, ila wengi wameyashindwa sababu ya 2500 cc V6 engine
Mafuta hapo yanatumika sana.....
Kama unasafari za hapa na pale kwenye barabara za lami zile za mbali itakufaa japo kifo kiko mkononi
Brevis yenye alloy rims hizi kua inapendeza sana haswa ikiwa dark blue au ya silver imefungwa mziki kimtindo na tint nyeusi aisee inapendeza ku cruiser nayo aisee